wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Mkuu,Kweli kufanya kazi usiku na mchana sio effectiveness ya kazi pia sio kiashiria cha moja kwa moja cha kufanyika kazi. Kuna daraja toka oct 2019 mpka hii April 2020 kadaraja kadogo wanahangaika nako kama hadithi ya Mfalme ya nyuki isio isha. Akatoka akaingia akatoka akaingia akatoka akaingia...... siku, miezi miaka haiishi. Mkuu hii update kutoka Moro maeneo ya Azimio.
Kuna dads mmoja ofisini kwetu kwake ana cherehani 1 tu lakini kila siku analeta mabegi ya shule ya ngozi na mikoba ofisini kwa kuuza na watu wanaikubali sana....sasa hapa napo sijui anaongeleajeCherehani 4-10 zinaweza kuwa kiwanda kidogo huo ndio ukweli. Suala hapa je hizo cherehani 4 - 10 ni za aina gani (uwezo wake) na zinazalisha nini? Kama ni cherehani za kisasa na wanatengeneza kwa wingi nguo au viatu na vitu vingine kama hivyo vyenye quality ambavyo vinaweza kuuzwa ndani ya nchi na hata nje ya nchi basi hicho ni kiwanda maana kitafuata hatua zote za utengenezaji wa hizo bidhaa na kuajiri watu wenye sifa. Lakini kama hizo cherehani 4-10 zitakuwa ni za kushona viraka na mavazi ya mtu moja mmoja basi hicho si kiwanda.
Duh shida ya maji wakati mvua inanyesha!Mkuu,
Habari ya hapo moro mitaa ya azimio. Vipi shida ya maji imeisha mitaa hiyo?
Sent using iphone pro max
Kwahiyo COVID 19 ndiyo mtaji wenu siyo!Mwaka huu Watanzania hawataki kusikia habari za stigler goji wala ndege wala SGR wala flyover.
Wanataka kusikia habari za coronavirus, CHADEMA, ACT-Wazalendo na Tume Huru.
Naunga mkono SGR, Stiglers gorge , upanuzi wa barabara,,,Mbona Che Nkapa na JK walishindwa kununua hata ndege moja ihali walizikuta alizoacha Baba wa taifa karibu 10? Hilo hamlioni kwa sababu ya makengeza.
Umuhimu wa ndege utauona tu pale unapohitaji usafiri wa nje, pia ni fedheha kwa nchi kuwa tegemezi kwenye makampuni ya nje kusafirisha raia wake.Naunga mkono SGR, Stiglers gorge , upanuzi wa barabara,,,
Ndege NO
Fly over NO
Biashara ya ndege hatuwezi toboa,,,
Round about pale Ubungo imesolve tatizo la folen.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliambiwa SGR Dar to Morogoro ingeanza Dec mwaka jana, Stiegler's Gorge nayo kimya. Sio Msemaji wa serikali wala Polepole wala praise team wanaogusia, nini kimewapata.
Bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga lilizinduliwa kwa mbwembwe tukaonywa atakayekwamisha atakiona, nani sasa amekwamisha. Je ule wimbo wetu wa kuhamia Dodoma umeishia wapi?
Tanzania ya viwanda imefikia wapi, juzi tuliambiwa tuna viwanda vikubwa, vya kati, vidogo na vidogo sana, sijui hivyo vidogo sana ni vya wachoma mahindi?
Ndege zetu zimepaki? yaani.
Mambo ni mengi sana muda hautoshi.
Ukisikia usije ukasema taarifa za uongo maana nyie BAVICHA hamtaki kusikia ukweli hasa wa miradi mikubwa. Ni suala la muda kabla ya kuukimbia uzi wako
Kabaki Polepole na porojo zake eti upinzani sawa na corona mshamba kweli yule hivi ana akili timamu kweli hamuoni mwezie Nape sasa limemshuka anashinda vijiweni huko mtama akiwaomba vijana wampe tena kura na sijui kama atarudi tena
Mjibu mleta uzi, anataka kujua, lile bomba lenu la mafuta kutoka Uganda limefikia wapi?
Mjibu mleta uzi, anataka kujua, lile bomba lenu la mafuta kutoka Uganda limefikia wapi?
Quinine, Mmemaliza kujenga ofisi pale ufipa, tupeni update mapema
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliambiwa SGR Dar to Morogoro ingeanza Dec mwaka jana, Stiegler's Gorge nayo kimya. Sio Msemaji wa serikali wala Polepole wala praise team wanaogusia, nini kimewapata.
Bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga lilizinduliwa kwa mbwembwe tukaonywa atakayekwamisha atakiona, nani sasa amekwamisha. Je ule wimbo wetu wa kuhamia Dodoma umeishia wapi?
Tanzania ya viwanda imefikia wapi, juzi tuliambiwa tuna viwanda vikubwa, vya kati, vidogo na vidogo sana, sijui hivyo vidogo sana ni vya wachoma mahindi?
Ndege zetu zimepaki? yaani.
Mambo ni mengi sana muda hautoshi.
Wewe nawe unawasikiliza hao wajinga? Hakuna kitu ni mbwembwe za kutuona sisi wajinga wakati tunaelewa wao ndio wajinga.
Mwaka huu Watanzania hawataki kusikia habari za stigler goji wala ndege wala SGR wala flyover.
Wanataka kusikia habari za coronavirus, CHADEMA, ACT-Wazalendo na Tume Huru.
Ukisikia usije ukasema taarifa za uongo maana nyie BAVICHA hamtaki kusikia ukweli hasa wa miradi mikubwa. Ni suala la muda kabla ya kuukimbia uzi wako
"N'gombe wa masikini hazai; na akizaa huwa ni dume".Tuliambiwa SGR Dar to Morogoro ingeanza Dec mwaka jana, Stiegler's Gorge nayo kimya. Sio Msemaji wa serikali wala Polepole wala praise team wanaogusia, nini kimewapata.
Bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga lilizinduliwa kwa mbwembwe tukaonywa atakayekwamisha atakiona, nani sasa amekwamisha. Je ule wimbo wetu wa kuhamia Dodoma umeishia wapi?
Tanzania ya viwanda imefikia wapi, juzi tuliambiwa tuna viwanda vikubwa, vya kati, vidogo na vidogo sana, sijui hivyo vidogo sana ni vya wachoma mahindi?
Ndege zetu zimepaki? yaani.
Mambo ni mengi sana muda hautoshi.