Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Hakuna mradi ambao ujenzi umesimama.miradi haijakamilika lakini ujenzi unaendelea. Niko mita 100 eneo la mradi SGR.ni suala la muda tu.kila kitu kitakamilika. Na nyinyi mjenge makao makuu ya chama..tutawachangia kama tulivyowachangia viongozi wenu wakiwa mahabusu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kukaa karibu na Mlonganzila sio sababu ya kupata Corona au kujikinga nayo..
 
Ukisikia usije ukasema taarifa za uongo maana nyie BAVICHA hamtaki kusikia ukweli hasa wa miradi mikubwa. Ni suala la muda kabla ya kuukimbia uzi wako

Sema bomba la mafuta ujenzi umefikia wapi? Nyie ndio wale viazi mnapewa sifa za kupika mnakuja kichwa kichwa huku jukwaani kusema ccm itatawala milele. Ukiweza weka ushahidi usioacha shaka sasa hivi nchi hii ni ya viwanda. Jiwe huwa ni muongo hivyo amewalisha wanaccm huo uongo wake, wamekuwa kama wendawazini huku jukwaani. Na kwa taarifa yako sasa hivi umeme unakatika vibaya, dalili kuwa jiwe pumzi imekata.
 
Hakuna mradi ambao ujenzi umesimama.miradi haijakamilika lakini ujenzi unaendelea. Niko mita 100 eneo la mradi SGR.ni suala la muda tu.kila kitu kitakamilika. Na nyinyi mjenge makao makuu ya chama..tutawachangia kama tulivyowachangia viongozi wenu wakiwa mahabusu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna aliyesema mradi umesimama ila kwa mujibu wa kebehi zenu sgr ilikuwa ifike Moro Nov 2019. Mmekwama wapi tuwachangie? Au corona imewakamata?

Hapo moro tu mmepitiliza muda sasa Dodoma si mtafika 2040.
 
Ukisikia usije ukasema taarifa za uongo maana nyie BAVICHA hamtaki kusikia ukweli hasa wa miradi mikubwa. Ni suala la muda kabla ya kuukimbia uzi wako
Huu uzi ungekuwa hauna maana kama sgr ingefika Moro Nov 2019. Leo ni karibu April 2020 na hakuna sababu inatolewa kwa nn mradi umechelewa. Huu uzi upo valid mpaka Bwana Yesu arudi
 
''Mwenye macho haambiwi tazama.''

Hiyo lugha huwa mnawaambia mazoba wasiojua lolote. Ni vyema badala ya kuja na misemo, ungesema bomba la mafuta ujenzi umefikia wapi, maana tuliambiwa kwa mbwembwe kuwa 2020 litaanza kazi, SGR tuliambiwa kufikia dec 2019 itaanza kazi Dar-Moro. Badala ya kusema maendeleo ni yapi unaleta maneno ya kiswahili eti mwenye macho haambiwi tazama.
 
Hiyo lugha huwa mnawaambia mazoba wasiojua lolote. Ni vyema badala ya kuja na misemo, ungesema bomba la mafuta ujenzi umefikia wapi, maana tuliambiwa kwa mbwembwe kuwa 2020 litaanza kazi, SGR tuliambiwa kufikia dec 2019 itaanza kazi Dar-Moro. Badala ya kusema maendeleo ni yapi unaleta maneno ya kiswahili eti mwenye macho haambiwi tazama.

''Kwenye msafara wa kenge hata mijusi wapo.''
 
Hakuna mradi ambao ujenzi umesimama.miradi haijakamilika lakini ujenzi unaendelea. Niko mita 100 eneo la mradi SGR.ni suala la muda tu.kila kitu kitakamilika. Na nyinyi mjenge makao makuu ya chama..tutawachangia kama tulivyowachangia viongozi wenu wakiwa mahabusu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli, sema basi ujenzi wa hilo bomba la mafuta umefikia wapi ili watu wakajiridhishe na hii propaganda yako?
 
Hakuna mradi ambao ujenzi umesimama.miradi haijakamilika lakini ujenzi unaendelea. Niko mita 100 eneo la mradi SGR.ni suala la muda tu.kila kitu kitakamilika. Na nyinyi mjenge makao makuu ya chama..tutawachangia kama tulivyowachangia viongozi wenu wakiwa mahabusu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo mita 100 za hapo Dar au Morogoro?
 
Wapuuzi Endeleeni Kupiga zogo
Kazi ikiendekea
Fika Sehemu husika
Utaona
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Ahaaaa ahaaaa, mwisho wa sifa za kijinga umefika, zile mada za sifa za kijinga zimekata saa hii naona unapiga methali na misemo tu. Pia usisahau na mgao wa umeme umeanza.

''Mvua za rasha rasha tu hizo, masika bado.''
 
Hivi waziri mwenye dhamana ameshindwa nini kuwazuia wale wote wanaoikandia ATCL kupata huduma kwenye ndege zetu? Tufike mahali jino liwe kwa jino. Zito na genge lake la wahuni wasipate hudumu kwenye ndege zetu. Wao wana pesa kutoka kwa shangazi zao wawakodishie private jets.

Kwa post hii inaonyesha umekata moto, Zito alikuwa anapanda fastjet ambayo mmeifanyia fitina, na wala hapakii ATCL kwa hisani bali analipa nauli. Jazba haikubebi kwenye hii mada. Tulisema Serekali hii ni ya wapika data ili kuhadaa umma. Sasa ukweli na uongo unaanza kujitenga.
 
Back
Top Bottom