Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Hivi waziri mwenye dhamana ameshindwa nini kuwazuia wale wote wanaoikandia ATCL kupata huduma kwenye ndege zetu? Tufike mahali jino liwe kwa jino. Zito na genge lake la wahuni wasipate hudumu kwenye ndege zetu. Wao wana pesa kutoka kwa shangazi zao wawakodishie private jets.
Una uwezo kama ccm mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO

Chadema at work,WATANZANIA na dunia nzima tuko busy na corona ila nyinyi mko busy na saccos ya wavamia magereza!

Tangu lini DJ akaweza kuongoza busara ya wavuta bhange kama kina mdee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Ole
''Mvua za rasha rasha tu hizo, masika bado.''

Tuliwaambia mechi hushindwa baada ya dakika 90, sio unapata goli dakika ya 5 unajigamba umeshinda mechi. Na nyie vilaza ndio mkawa mnaeneza propaganda mfu eti nchi hii haijawahi kuwa na rais kama Magu. Kuna wenzio huwa wanasema nchi hii ina hospitali 67 za wilaya zinajengwa, na vituo 350 nchi nzima. Huwa tunawaambia ni data za kupika kwani magu ni bingwa wa data za kupika. Tukiwaambia waweke list ya hivyo vituo na hospitali na mahali zilipo ili tujiridhishe wanapotea. Huu ni wakati wa digitali, huwezi kuendesha nchi kwa propaganda mfu na bado ukatoboa, sana sana utaishia kutumia mabavu pasipohotajika.
 
Update ni kwamba Stiglers Gorge inaendelea vizuri. Sema maji yamejaa yamesababisha kusimama kwa uchimbaji wa diversion tunnel, mvua ikikata maji yakaisha kazi inaendelea kama kawaida. Kwa hili serikali inapaswa kupongezwa.

SGR pia ni project nzuri, iwapo itakamilika tutaona matunda yake. Kwa sasa hii ya Morogoro Dar iko karibu 80% na natumaini kufikia December mwaka huu itakua tayari. Ile ya Moro Dom iko 30%, 2024 au kabla ya hapo itakamilika.

Katika project naunga mkono na nafuatilia ni hizi kwa sababu zina long term benefits kuliko nyingine zote.
 
CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO

Chadema at work,WATANZANIA na dunia nzima tuko busy na corona ila nyinyi mko busy na saccos ya wavamia magereza!

Tangu lini DJ akaweza kuongoza busara ya wavuta bhange kama kina mdee?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiki ulichoandika kwenye hii post sio kuwa umeandika kwa bahati mbaya, ila umejua zile data za kupika tunazosema kila siku imefika muda wa kuumbuka. Na ukitaka kujua muda wa kuumbuka umefika, hata umeme sasa hivi umeanza mgao! Zile sifa za kijinga muda wa matokeo kuonekana ndio huu.
 
Mbona Che Nkapa na JK walishindwa kununua hata ndege moja ihali walizikuta alizoacha Baba wa taifa karibu 10? Hilo hamlioni kwa sababu ya makengeza.

Mbona JK aliweza kuajiri kila mwaka na kuongeza mishahara nyie mnakwama wapi?
 
Quinine,
Selikari ya awamu ya tano INA laana, ndoma maana haifanikiwi, na majanga yanaiandama dunia kwa sababu ya dhambi wanazotenda,

Walijidai kukopo China sasa holaa

Wameenda kuomba msamaha ili wakope WB na IMF, nako bado kugumu.

Sasa hivi wanawakamua wanyonge kupitia TRA, siku huzi tra wanatumbusha kulipa kodi kwa Message,

Na hili janga LA corona sijui kama litawwacha salama bila kulisambaratisha hili genge LA wahuni wa awamu ya tano
 
Mbona JK aliweza kuajiri kila mwaka na kuongeza mishahara nyie mnakwama wapi?

Hatujadili majungu! Tanzania ilikuwa kwenye hai mbaya sana wakati wa JK, rejea vigenerator kila kona, miradi ya kufua umeme kwa kuwakandamiza Watanzania nk. Wafanyakazi hewa wakati wa JK walishamiri, hata watoto wake nao walikuwa kama marais nk, Membe naye ambaye ni ndugu alitaka kubatiziwa urais what a shame! Waungwana hukaa kimya.
 
Selikari ya awamu ya tano INA laana, ndoma maana haifanikiwi, na majanga yanaiandama dunia kwa sababu ya dhambi wanazotenda,

Walijidai kukopo China sasa holaa

Wameenda kuomba msamaha ili wakope WB na IMF, nako bado kugumu.

Sasa hivi wanawakamua wanyonge kupitia TRA, siku huzi tra wanatumbusha kulipa kodi kwa Message,

Na hili janga LA corona sijui kama litawwacha salama bila kulisambaratisha hili genge LA wahuni wa awamu ya tano
Unaweza kuweka ushahidi hapa ambapo Serikali ilienda kuomba msamaha WB au IMF?
 
Bomba la hoima limeshamalizika linafanya kazi ni vile tu serikali haipendi kujionyesha ni kama vile Ally Kiba asivyopenda kujionyesha tu.

Ungewatendea members haki kama ungeweka ushahidi.
 
Tuliwaambia mechi hushindwa baada ya dakika 90, sio unapata goli dakika ya 5 unajigamba umeshinda mechi. Na nyie vilaza ndio mkawa mnaeneza propaganda mfu eti nchi hii haijawahi kuwa na rais kama Magu. Kuna wenzio huwa wanasema nchi hii ina hospitali 67 za wilaya zinajengwa, na vituo 350 nchi nzima. Huwa tunawaambia ni data za kupika kwani magu ni bingwa wa data za kupika. Tukiwaambia waweke list ya hivyo vituo na hospitali na mahali zilipo ili tujiridhishe wanapotea. Huu ni wakati wa digitali, huwezi kuendesha nchi kwa propaganda mfu na bado ukatoboa, sana sana utaishia kutumia mabavu pasipohotajika.

Kipofu tu ndio hawezi kuona.
 
Update ni kwamba Stiglers Gorge inaendelea vizuri. Sema maji yamejaa yamesababisha kusimama kwa uchimbaji wa diversion tunnel, mvua ikikata maji yakaisha kazi inaendelea kama kawaida. Kwa hili serikali inapaswa kupongezwa.

SGR pia ni project nzuri, iwapo itakamilika tutaona matunda yake. Kwa sasa hii ya Morogoro Dar iko karibu 80% na natumaini kufikia December mwaka huu itakua tayari. Ile ya Moro Dom iko 30%, 2024 au kabla ya hapo itakamilika.

Katika project naunga mkono na nafuatilia ni hizi kwa sababu zina long term benefits kuliko nyingine zote.

Wangalau ww umejitahidi, sio kwamba umeongea ukweli kwa maana ya ukweli, lakini umejaribu kuja na data za hapa na pale. Hilo la SGR kwa sasa ngoja tukuache ili usitake kuandika uongo ili kuua soo. Lakini sioni bwawa hilo lilikamilika wakati Magufuli akiwa madarakani hata kama atapata miaka mitano tena.

Hiyo SGR hata mimi sikatai kuwa ni project nzuri, ila approach aliyotumia Magufuli ya kusaka kiki badala ya kuendelea na mbinu ya JK ya mkopo toka mwanzo, hapo alichemsha kitu ambacho sioni akikamilisha kabla ya kutoka madarakani. Unasema hiyo reli Dar+ Moro iko 80%, ila unasema huenda kufikia December itakuwa tayari. Hilo neno huenda lenyewe linaleta shaka kubwa. Nina shaka sana iwapo Magufuli mpaka anatoka madarakani iwapo hiyo reli itakuwa imevuka Dodoma. Sioni hilo lilitokea, kwani Magufuli ana nia ya kukamilisha hiyo reli kabla ya kutoka madarakani, lakini nia pekee haitoshi, kikubwa ni mbinu ya kufanya hivyo.

Siku za nyuma niliwahi kuandika humu wakati hiyo miradi ikipigiwa debe kubwa, na Magufuli kusifiwa kuwa ametekeleza jambo ambalo lilikuwa ni upotoshaji mkubwa, aidha wa makusudi au mihemko. Kwanza miradi hakuwa ametekeleza, bali aliouonyesha udhubutu. Ni kweli ni mtu mwenye uthubutu na mchapakazi kazi kwa asili yake, ila sio mtu mwenye mbinu za anachotamani. Nilisema Magufuli hana uwezo wa kupata 15t ndani ya miaka 5+5 ya utawala wake, huku miradi na mahitaji mengine yakiendelea. Aina ya utawala wake haimfanyi kupata hizo pesa kwa muda atakaokaa madarakani, na hata akipata mikopo kiasi fulani, basi itakuwa ni yenye riba kubwa, na masharti magumu.

Ni dhahiri kabla ya muda wake kuisha atakuwa anakabiliwa na mzigo mkubwa wa madeni, je atakuwa analipa madeni au kutekeleza miradi hiyo ya gharama kubwa? Sioni anatoboa vipi.
 
Back
Top Bottom