Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Kukaa karibu na Mlonganzila sio sababu ya kupata Corona au kujikinga nayo..
 
Ukisikia usije ukasema taarifa za uongo maana nyie BAVICHA hamtaki kusikia ukweli hasa wa miradi mikubwa. Ni suala la muda kabla ya kuukimbia uzi wako

Sema bomba la mafuta ujenzi umefikia wapi? Nyie ndio wale viazi mnapewa sifa za kupika mnakuja kichwa kichwa huku jukwaani kusema ccm itatawala milele. Ukiweza weka ushahidi usioacha shaka sasa hivi nchi hii ni ya viwanda. Jiwe huwa ni muongo hivyo amewalisha wanaccm huo uongo wake, wamekuwa kama wendawazini huku jukwaani. Na kwa taarifa yako sasa hivi umeme unakatika vibaya, dalili kuwa jiwe pumzi imekata.
 
Hakuna aliyesema mradi umesimama ila kwa mujibu wa kebehi zenu sgr ilikuwa ifike Moro Nov 2019. Mmekwama wapi tuwachangie? Au corona imewakamata?

Hapo moro tu mmepitiliza muda sasa Dodoma si mtafika 2040.
 
Ukisikia usije ukasema taarifa za uongo maana nyie BAVICHA hamtaki kusikia ukweli hasa wa miradi mikubwa. Ni suala la muda kabla ya kuukimbia uzi wako
Huu uzi ungekuwa hauna maana kama sgr ingefika Moro Nov 2019. Leo ni karibu April 2020 na hakuna sababu inatolewa kwa nn mradi umechelewa. Huu uzi upo valid mpaka Bwana Yesu arudi
 
''Mwenye macho haambiwi tazama.''

Hiyo lugha huwa mnawaambia mazoba wasiojua lolote. Ni vyema badala ya kuja na misemo, ungesema bomba la mafuta ujenzi umefikia wapi, maana tuliambiwa kwa mbwembwe kuwa 2020 litaanza kazi, SGR tuliambiwa kufikia dec 2019 itaanza kazi Dar-Moro. Badala ya kusema maendeleo ni yapi unaleta maneno ya kiswahili eti mwenye macho haambiwi tazama.
 

''Kwenye msafara wa kenge hata mijusi wapo.''
 

Ni kweli, sema basi ujenzi wa hilo bomba la mafuta umefikia wapi ili watu wakajiridhishe na hii propaganda yako?
 
Upo mita 100 za hapo Dar au Morogoro?
 
Wapuuzi Endeleeni Kupiga zogo
Kazi ikiendekea
Fika Sehemu husika
Utaona
 
Reactions: Ole
Ahaaaa ahaaaa, mwisho wa sifa za kijinga umefika, zile mada za sifa za kijinga zimekata saa hii naona unapiga methali na misemo tu. Pia usisahau na mgao wa umeme umeanza.

''Mvua za rasha rasha tu hizo, masika bado.''
 

Kwa post hii inaonyesha umekata moto, Zito alikuwa anapanda fastjet ambayo mmeifanyia fitina, na wala hapakii ATCL kwa hisani bali analipa nauli. Jazba haikubebi kwenye hii mada. Tulisema Serekali hii ni ya wapika data ili kuhadaa umma. Sasa ukweli na uongo unaanza kujitenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…