Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well noted Bro. Sasa ni kuzuia safari zote hadi mwishoUlishazaa na mwanamke hata akiolewa nirahisi sana kupasha kiporo kama akiwa hajielewi, mimi ninaye huyo nilizaanaye 2012 akaolewa 2013 nikachukuwa mtoto wangu lakini mpaka sasa ninapiga mzigo tena bila kuhangaika bali ninapiga simu moja tu Mume anadanganywa anakuja ninamaliza mchezo anarudi, sikuzingine anaaga kwamba anasafiri kumbeanakuja kwangu najipimia... jamaa nayeye kamzalisha watoto wawili..
So brother ukioa mwanamke ambaye ameshazalishwa na jamaa ambaye bado yupo Hai jua yakwamba kugongewa inakuhusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Akishaolewa sio single mother tena...
Najaribu kufikiria kama hujatumia akili ya Makalio basi uwezo wako wa kufikiria ni mdogo mno tena wa kiwango cha Lami!!aliyekubali kuwa single maza huo ni msalaba wake na ww kijana unayeoa single maza maradhi ya ngono hayatoacha kukutafuna cc..24hrs
penda mtoto wake tu yeye atafata kama mbuzi anavyofata mtotoKuna singo maza mmoja ananiringia sana aisee
% 99 wakihitajiwa na wazazi wenzao chup atavua labda ubahatike huyo jamaa asimuhitaji.Huo ushahid uweke waz hapa
Unahisi baby dady kamfanya?Wadau maon yaliyotolewa bado hayatosh kufanya hitimisho
Anaogopa guu la zamani litakuwa limepiga patrol pangoni..Unahisi baby dady kamfanya?
Kuwa na mtu mwenye mtoto na mtu (single mom/single dad) ni kama upo na mpenzi wa mtu tu.Anaogopa guu la zamani litakuwa limepiga patrol pangoni..
Sasa kama wewe miguu haipigi kwata(mchakamchaka) vizuri unategemea nini, nyasi zitaota pangoni, ndio hapo mguu wa zamani unapokumbukwa kuja kutoa taka mwili zoote pangoni
Watu "KIKUBWA PUMZI"Kuwa na mtu mwenye mtoto na mtu (single mom/single dad) ni kama upo na mpenzi wa mtu tu.
Ni sababu nimba ilitoka tu unadhan angezaa bado angekuwa hapokei simu wala kujivu texts kisa kaolewa??sio kweli ni stori tu za kuwatisha wengine wasioe wanawake tulioamua kuwakomoa, nina mwanamke nilimpa mimba bahati mbaya ilitoka, hajawahi nitafuta toka ameolewa wala lujibu meseji yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app