Mwenye ushahidi kuwa “single mothers” wakishaolewa huwa wanapasha kiporo na wazazi wenzao aulete hapa

Mwenye ushahidi kuwa “single mothers” wakishaolewa huwa wanapasha kiporo na wazazi wenzao aulete hapa

Ulishazaa na mwanamke hata akiolewa nirahisi sana kupasha kiporo kama akiwa hajielewi, mimi ninaye huyo nilizaanaye 2012 akaolewa 2013 nikachukuwa mtoto wangu lakini mpaka sasa ninapiga mzigo tena bila kuhangaika bali ninapiga simu moja tu Mume anadanganywa anakuja ninamaliza mchezo anarudi, sikuzingine anaaga kwamba anasafiri kumbeanakuja kwangu najipimia... jamaa nayeye kamzalisha watoto wawili..
So brother ukioa mwanamke ambaye ameshazalishwa na jamaa ambaye bado yupo Hai jua yakwamba kugongewa inakuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
Well noted Bro. Sasa ni kuzuia safari zote hadi mwisho
 
jamani.
Hata ukioa mwanamke ambae sio single mum na hujamkuta bikra.
Basi lazima atakwichi kichwi na ex wake.
Si ndo kamtoa bikra.
Embe punguzeni ngebe kea single mom bana.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Unahisi baby dady kamfanya?
Anaogopa guu la zamani litakuwa limepiga patrol pangoni..

Sasa kama wewe miguu haipigi kwata(mchakamchaka) vizuri unategemea nini, nyasi zitaota pangoni, ndio hapo mguu wa zamani unapokumbukwa kuja kutoa taka mwili zoote pangoni
 
Anaogopa guu la zamani litakuwa limepiga patrol pangoni..

Sasa kama wewe miguu haipigi kwata(mchakamchaka) vizuri unategemea nini, nyasi zitaota pangoni, ndio hapo mguu wa zamani unapokumbukwa kuja kutoa taka mwili zoote pangoni
Kuwa na mtu mwenye mtoto na mtu (single mom/single dad) ni kama upo na mpenzi wa mtu tu.
 
sio kweli ni stori tu za kuwatisha wengine wasioe wanawake tulioamua kuwakomoa, nina mwanamke nilimpa mimba bahati mbaya ilitoka, hajawahi nitafuta toka ameolewa wala lujibu meseji yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sababu nimba ilitoka tu unadhan angezaa bado angekuwa hapokei simu wala kujivu texts kisa kaolewa??
 
Back
Top Bottom