Hahaa hahaaa kukwepa kuungua Moto. Kama wachunga wahuni wanaokemea kwa jina la "yeesss" badala ya kwa jina la YesuuHuwa anasema "Bwana yule".
John Biden na Trump wanatajana sanatena mh! Sijui jipya nini.Kumtaja mshindani wako ni kumpigia kampeni/kumfanyia matangazo pasipo malipo.
Wasira ana jibu la swali lakoTunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaombele Cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.
Kwani mheshimiwa anashindwa nini kumtaja lissu kwa kampeni zake?!Tunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaombele Cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.
Ndio chakula tunachokula wanyonge π€£π€£Alisema kuna mtu ametoka ulaya na anagombea urais huku kavimbiwa maharage na ugali!
Mkuu ulishawahi kuona au kusikia wapi kwenye nyumba za ibada waabudu tu bila kumshambulia shetani πππTunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaombele Cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.
Magufuli ndiye Rais for the time being. Utwala na matendo ya serikali ya sasa vipo mikononi mwake, Hivyo kwa yeye kutumika kama point of reference haliepukiki. Kibaya ni kutukana au kumzushia uongo.Tunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaombele Cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.
Anaona haya na fedheha.Unajua shetani hawezi kulitamka jina la Yesu, huwa anaungua
Lissu ana umaarufu gani?.Magufuli aliambiwa akimtaja Lissu atamuongezea umaarufu sasa imekula kwake
Magufuli ni kiongozi smart. Hawezi poteza muda kutaja genge la wapigaji ingawa anawajua wote.Magufuli si alikuwa anapenda kutajwa tajwa kwenye na kila kitu, hata watu wakipata ajali wakipona badala ya kushukuru Manesi na Madakari anatajwa yeye
Sasa ni lazima atajwe tena huyohuyo kwenye uovu na ufisadi na ulaji wa rambirambi.
Kama mgombea wa Polepole hataki kutajwa kwenye kampeni asigombee. Akajifungie chumbani kwakeTunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaombele Cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.
Unajua shetani hawezi kulitamka jina la Yesu, huwa anaungua