Hayo yapo kwenye ilani?Tunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaombele Cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.
Hivi uko pango gani huko mwituni?Lissu ana umaarufu gani?.
Kufuru hiyoUnajua shetani hawezi kulitamka jina la Yesu, huwa anaungua
Anamaanisha aliyetumwa.Maghufuli ni Rais anayetetea kiti lazima atajwe si dhambi hata kidogo .
Pili mgombea wa Ccm anaposema kuna mtu ametumwa kutoka kwa mabeberu na kibaraka kwa maoni yake , huwa anammaanisha nani ?!
Tunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaombele Cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika...expand...
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika...expand...
Kwan hauelewi nini??Ndio nini hiki?Au unajaribu kugundua nini?
Tunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaombele Cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.
Anajaribu kuelezea kwa njia rahisi kwamba mtu kwenye akili ndogo kama Lissu huzungumza kuhusu watu na watu wenye akili kubwa kama Rais Magufuli huzumgumza kuhusu issues.Ndio nini hiki?Au unajaribu kugundua nini?
Ajabu ni kwamba mmepigwa spana sasa mmerudi kwa refa ili mbebwe kwa mbeleko!Sasa NEC wafanye upuuzi,safari hii kitaeleweka!Anajaribu kuelezea kwa njia rahisi kwamba mtu kwenye akili ndogo kama Lissu huzungumza kuhusu watu na watu wenye akili kubwa kama Rais Magufuli huzumgumza kuhusu issues.
Huko kueleweka unakosema atakuamini mamaako na mkeo tu.Ajabu ni kwamba mmepigwa spana sasa mmerudi kwa refa ili mbebwe kwa mbeleko!Sasa NEC wafanye upuuzi,safari hii kitaeleweka!
Nitaanza na mama yako!Huko kueleweka unakosema atakuamini mamaako na mkeo tu.
Anamuogopa Sana hadi anashindwa kumtaja jina.Tunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaombele Cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.