. Afu kingine mbn hata makada wao wenyewe wanauwawa je? Ni Nani hao wanaofanya hayo?Halafu serikali na jeshi lake lote imeshindwa kuwakamata, imeshindwa hata kuwakamata walinzi waliokuwa getini kwenye nyumba za viongozi
Mama Samia anavyosema askari wao hawawezi kumkosa mtu kwa risasi tatu anamaanisha nani?
Hakukaa na kuona mchango wake kwenye uongozi zaidi.Unaijua Tanganyika Law Society wewe,
Polisi waje na majibu ya kueleweka. Afu kingine mbn hata makada wao wenyewe wanauwawa je? Ni Nani hao wanaofanya hayo?
Kama unatembea na mke wa mtu, ukimwona Mme wake tu unaweza kukimbia ukidhani anajua...huwezi kuwa na Ujasiri wa kukutana naye..Tunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaumbele cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Dkt. Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.
Basi hata ile ya Lissu pia polisi watoe majibu tusiwalaumu naoPolisi waje na majibu ya kueleweka
. Una uhakika?Kama unatembea na mke wa mtu, ukimwona Mme wake tu unaweza kukimbia ukidhani anajua...huwezi kuwa na Ujasiri wa kukutana naye..
Sasa Imagine Unakutana na mtU uliyetaka kumwua, lkn unamwona yuko Hai na Unakutana naye barabarani kila siku, Utakuwa na Ujasiri wa kumwita kwa Jina lake? Utaweza kumsalimia?
Go to hell. Una uhakika?
Kama muda unaenda tutawalaumu tu. Bc hata ile ya lisu pia policy watoe majibu tusiwalaumu nao
Mleta mada ni kwamba aliyekuwepo madarakani ndiye mtekelezaji mkuu wa sera za chama kilichoshinda na kukabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi. Chama chochote cha upinzani ni lazima kiangalie mapungufu na kuyajengea hoja za ukosoaji . Hii ipo Dunia nzima.Tunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaumbele cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Dkt. Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa.
Usijitoe ufahamu kisa mahaba ya chama be realisticHakukaa na kuona mchango wake kwenye uongozi zaidi.
. Tatizo Hatuna ushahidi wowoteKama muda unaenda tutawalaumu tu
Mbona jiwe mwenyewe anawaita watu majizi, yeye akiwa jizi ajabu itoke wapi?kuna watu washamba wa democrasia. eti jiwe kuambiwa mwizi kipindi hiki cha kampeni wanaona ajaaabu.
.Utajiponza mwenyeweGo to hell
. Unauhakika?Jina la Lissu ni kaa la moto. Mtu mwenye muujiza wa kupona risasi 16 zilizotokana na amri ya magufuli..
Hakusikia wala kusoma maoni ya Jaji Sinde Warioba juu ya utendaji kazi wa Lisu akiwa rais wa TLS.Unaijua Tanganyika Law Society wewe,
Kwamba Lissu nae kawa Yesu 😂Unajua shetani hawezi kulitamka jina la Yesu, huwa anaungua