Samwel Jr
JF-Expert Member
- May 9, 2020
- 1,311
- 935
. Afu kingine mbn hata makada wao wenyewe wanauwawa je? Ni Nani hao wanaofanya hayo?Halafu serikali na jeshi lake lote imeshindwa kuwakamata, imeshindwa hata kuwakamata walinzi waliokuwa getini kwenye nyumba za viongozi