Tunashuhudia kampeni za mgombea urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu kila anapopanda jukwaani lazima atamtaja Magufuli kwa jambo lolote lile kwa kifupi kipaumbele cha kwanza kwenye hotuba za Tundu Lissu ni Dkt. Magufuli.
Sasa tunaomba mwenye ushahidi wa JPM akimtaja Tundu Lissu mahala popote pale kwenye kampeni zake basi atuwekee hapa.
Naamini humu JF kuna watu wenye akili kubwa wanaweza kuwa na ushahidi watusaidie hapa. B.[/ QUOTE] Huwe unatunza kumbukumbu, wakati yupo singida kwenye kampeni akiwaambia wanasingida kuwa, mwambie kijana wenu haache kugombei urais kwani hata shinda, haje nimtafutie kazi ndogondogo alikuwa anamaanisha nani ?