Mwenye uzoefu na mabubu nahitaji kuoa bubu

Mwenye uzoefu na mabubu nahitaji kuoa bubu

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,261
Reaction score
17,202
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti nimemuona ni bubu nahitaji nimnusuru kwa maana ya kumuoa.

Kuhus mawasiliano nashukuru tunaelewana japo kwa ishara japo ndio hivyo ni mwendo wa aba ba ba ba lakini sio inshu sana cha muhimu lile la muhimu kama mke analimudu.

Ningependa kupata mbili tatu wenye uzoefu wa hawa mabubu.
 
Nyumba itakuwa haina Gubu, penzi lenu litadumu, Sahau kuhusu kugongewa, kupewa umbea na majirani
Hilo la kugongew wala usilitoe akilini unawaza huyo bubu atakuwa bado bikira? Hapo cha umuhimu ni upendo heshima na uwaminifu binadamu woooote ni sawa tu, kama ww umeweza kumpata bubu hata mm sishindwi unyesha upendo mkuu
 
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada,kuna binti nimemuona ni bubu nahitaji nimnusuru kwa maana ya kumuoa.

Kuhus mawasiliano nashukuru tunaelewana japo kwa ishara japo ndio hivyo ni mwendo wa aba ba ba ba..lakini sio inshu sana cha muhimu lile la muhimu kama mke analimudu.

Ningependa kupata mbili tatu wenye uzoefu wa hawa mabubu.
Uzi tayari.
Mkuu mabubu wako lovely sana. Ila wako wa aina mbili. Wale wapole na wepesi wa kusamehe na wale wakali, wakorofi na wasio samehe pale anapofanyiwa unyanyasaji wa aina yoyote ile. Kazi kwako mie siongezi neno jipime mwenyewe kabla ya kuyavulia maji nguo na kuyaoga maana kifo na maisha ya amani na starehe kwako ni 50/50 kutegemea na aina ya bubu uliyempata.
 
Mkuu mabubu wako lovely sana. Ila wako wa aina mbili. Wale wapole na wepesi wa kusamehe na wale wakali, wakorofi na wasio samehe pale anapofanyiwa unyanyasaji wa aina yoyote ile. Kazi kwako mie siongezi neno jipime mwenyewe kabla ya kuyavulia maji nguo na kuyaoga maana kifo na maisha ya amani na starehe kwako ni 50/50 kutegemea na aina ya bubu uliyempata.
Dah mbona kama una idea fulani halafu hutaki kufunguka?
 
Mkuu nawaza miguno yake tu wakati wa naniliu!..😅
Bwana na asimame nawe umpate umtakae
 
Dah mbona kama una idea fulani halafu hutaki kufunguka?
Nifunguke vipi zaidi ya hapo. Kifupi ukitangulia kabla yake patachimbika. Hakuna kushuka mpaka kieleweke. Mwenzako nina makovu ya meno na kucha kifuani mpaka basi. Kuna siku nilivua shati hosipitali Dr. alishangaa sana ikabidi nijitetee kuwa ni paka wa home aliniparua nikiwa nimelala kwa sababu ya kukoroma.
 
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti nimemuona ni bubu nahitaji nimnusuru kwa maana ya kumuoa.

Kuhus mawasiliano nashukuru tunaelewana japo kwa ishara japo ndio hivyo ni mwendo wa aba ba ba ba lakini sio inshu sana cha muhimu lile la muhimu kama mke analimudu.

Ningependa kupata mbili tatu wenye uzoefu wa hawa mabubu.
ila kumbka mabubu wananguvu zaidi kwahiyo anza zoez gym
 
Nifunguke vipi zaidi ya hapo. Kifupi ukitangulia kabla yake patachimbika. Hakuna kushuka mpaka kieleweke. Mwenzako nina makovu ya meno na kucha kifuani mpaka basi. Kuna siku nilivua shati hosipitali Dr. alishangaa sana ikabidi nijitetee kuwa ni paka wa home aliniparua nikiwa nimelala kwa sababu ya kukoroma.
Ohooo..
 
Unaoa bubu hii ni kali sana aisee inaonyesha mabubu sasa hivi wametrend sana .
Kama wakina wema sepetu .
Zamani .
Nimejua kwanini ukimwoa anayeongea utapigiwa kelele ila babaa kelele atakuwa poa sana.
 
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti nimemuona ni bubu nahitaji nimnusuru kwa maana ya kumuoa.

Kuhus mawasiliano nashukuru tunaelewana japo kwa ishara japo ndio hivyo ni mwendo wa aba ba ba ba lakini sio inshu sana cha muhimu lile la muhimu kama mke analimudu.

Ningependa kupata mbili tatu wenye uzoefu wa hawa mabubu.
Hakuna shida yoyote kwa kuwa penzi halina umri au ulemavu wowote. Kuna familia ya mme bubu na kiziwi wakati mke ni kipofu lakini wanawasiliana na maisha yao ni ya upendo wa hali ya juu.
 
Back
Top Bottom