Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mjuaji sanaMimi naona waziri yupo sahihi kwasababu huyo mzee ameanza kuweka title ya mzee wake ili asikilizwe, badala ya kuweka taarifa zinazoonesha anastahili hiyo ardhi.....
kwanini aanze mimi ni mtoto wa muasisi wa Tanu?....Waziri ameogopa kuonekana anaoendelea watu ambao ni waasisi wa nchi......
waziri yupo sahihi japo kuna sehemu amekosea anaelekezwa anakuwa kama hataki kusikiliza hiyo inatokana na jamaa kuwa kama amemdharau
Mkuu umesema kweli kabisa, mf; Arusha kuna tabia hiyo sana badala ya kiongozi kuwasemea wananchi hili wananchi wapate ardhi yeye anaichukua na kugawana viongozi wanzake.Kuna sehemu nilikaa kijiwe cha mitaani nikisikiliza habari za vijana wanazodokezewa na wahusika wa serikali. Moja ya tatizo ni tamaa ya mwaziri pia. Unamkuta waziri Lukuvi anatatua migogoro ya ardhi kila kona aendako, lakini wakati huo huo yeye mwenyewe anatafuta viwanja na mashamba kila mkoa!
Kwa wadhifa wake, viwanja na mashamba hapati bila kuwatumia maafisa ardhi. Kama ni hivyo, atawezake kuwakemea wanapokuwa wamekosea? Ndo maana matatizo hayaishi!! Waziri ana viwanja Mwanza, Iringa, Arusha, Dar, etc. Lengo ni nini? HAta kama ni haki yake kama raia, ni vibaya kumiliki rasrimali kwa urafi kiasi hicho! Waziri ukishakuwa mrafi, nani akuamini? Ndo maana kila mtu anatamani kumuona rais. Hawa wasaidizi wake ni urafi uliokithili!!
Lukuvi unamjua vizuri?Mimi naona waziri yupo sahihi kwasababu huyo mzee ameanza kuweka title ya mzee wake ili asikilizwe, badala ya kuweka taarifa zinazoonesha anastahili hiyo ardhi.....
kwanini aanze mimi ni mtoto wa muasisi wa Tanu?....Waziri ameogopa kuonekana anaoendelea watu ambao ni waasisi wa nchi......
waziri yupo sahihi japo kuna sehemu amekosea anaelekezwa anakuwa kama hataki kusikiliza hiyo inatokana na jamaa kuwa kama amemdharau
Nimependa sana huyo mwamba, safi sana.Huyu mwananchi amemdharau sana Lukuvi, na kaongea kishari shari sana.
Haya ndiyo matatizo ya dikteta kuhodhi madaraka yote. Wananchi wanaanza kuwaona mawaziri kama takataka tu.
Mitano tena!
Huyo jamaa kamfuata Waziri kulalamika kwa sababu huko chini kote kaona hajapata haki.Nadhani Waziri kakosea, alipaswa awaachie hata wasaidizi wake waongee naye.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah nimechekaa ulimjibu kibabeMi mwenyewe hizi swaga za mimi fulani or usipofanya ntamuambia boss wako hua siziwezi aisee...
kuna siku PS wa director pc yake ilizingua akanipigia simu bt at the time nlikua nna issue nyingine, nikamwambia weka request yako kwenye helpdesk wengine waje kukusaidia or nikimaliza ntakuja kukusaidia akanipa swaga za ntaenda kuchukua laptop ya director nitumie hadi utakapokuja just to intimidate me...nikamwambia kachukue ila ukienda kuchukua siji kabisa maana utakua ushapata laptop ya kufanyia kazi nikakata simu nikendelea na issue zangu..kuna watu we don't work well na vitisho...[emoji3][emoji3][emoji3]
Juzi Kati Kuna waziri nilimtuma samaki feri wakati napata kongoro Latemba bar.Mawaziri wanaonekana kama mbwa tu. Mwenye mbwa ni jiwe
Umenikumbusha, wale jamaa huwa wanatishia i.e...hivi unajua unazungumza na nani??Haijalendeza huyo mwananchi kutangulia jina na nafasi ya babayake , hii maanayake wasio na ndugu serikalini hawana haki ya kupewa kipao mbele!
Safi sanaHuyu mwananchi amemdharau sana Lukuvi, na kaongea kishari shari sana.
Haya ndiyo matatizo ya dikteta kuhodhi madaraka yote. Wananchi wanaanza kuwaona mawaziri kama takataka tu.
Mitano tena!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mawaziri wanaonekana kama mbwa tu. Mwenye mbwa ni jiwe
[emoji23][emoji23][emoji23]Raisi mwenyewe Jiwe? Hana urafiki muulize mwanafunzi wake Kenge Lugola
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahMi mwenyewe hizi swaga za mimi fulani or usipofanya ntamuambia boss wako hua siziwezi aisee...
kuna siku PS wa director pc yake ilizingua akanipigia simu bt at the time nlikua nna issue nyingine, nikamwambia weka request yako kwenye helpdesk wengine waje kukusaidia or nikimaliza ntakuja kukusaidia akanipa swaga za ntaenda kuchukua laptop ya director nitumie hadi utakapokuja just to intimidate me...nikamwambia kachukue ila ukienda kuchukua siji kabisa maana utakua ushapata laptop ya kufanyia kazi nikakata simu nikendelea na issue zangu..kuna watu we don't work well na vitisho...[emoji3][emoji3][emoji3]
Uko sawa 100%..huyo mwananchi ana HAKI ya kusikilizwa.
..nimesikitika jinsi Waziri alikataa kumsikiliza.
..kwasababu mwananchi alikuwa moto, waziri alipaswa kuwa baridi.
Hata alipoacha kutambia na kueleza shida yake still waziri alionyesha utovu wa nidhamu kwa mtu amfanyae awe ofisini nyodo, dharau, majivuno, kiburi ni tabia za watu washamba waliolimbukia mali ukubwani.Naye lakini ana kosa, kwa nini aanze kutambia uasisi wa babake? Kwani kama angeeleza kwa staha ingekuwaje?