Kwa vetting ya Urais afai kaonyesha udikteta na ujivuni.Lukuvi anajionga kama Mungu mtu bora ya Magufuli mara 10000 kuliko Lukuvi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vetting ya Urais afai kaonyesha udikteta na ujivuni.Lukuvi anajionga kama Mungu mtu bora ya Magufuli mara 10000 kuliko Lukuvi!
Waziri amekosa hekima na busara amebomoa ajajenga paleUkiitizama hii video kwa makini ukiwa neutral kabisa utagundua huyo mwananchi ana changamoto kidogo ktk akili yake,hana utulivu kabisa.
Ndg Lukuvi alipaswa kuwa mtulivu kwa kuliona hilo angeahirisha kumsikiliza kwa kumuambia tu kwa utulivu wewe jambo lako ni zito tuonane pale ofisini.
Akija ofisini unachukua mabarua yake hayo unamuambia kaa hapo kunywa chai usizungumze,unazisoma ukielewa unatoa uamuzi.
Uongozi ni pamoja na uvumilivu wa kumudu personality za Watu.
Yeah hii nikweli inaanza kuonekana wa2 wamebaki kuamini kile tu anachosema Rais na sio wasemalo mawaziriHuyu mwananchi amemdharau sana Lukuvi, na kaongea kishari shari sana.
Haya ndiyo matatizo ya dikteta kuhodhi madaraka yote. Wananchi wanaanza kuwaona mawaziri kama takataka tu.
Mitano tena!
tatizo sio mwananchi, tatizo ni Lukuvi katika hiki tulichokiona. Yule mwananchi ni mwajiri wa Lukuvi, kwanini Lukuvi kakaa kibosi bosi badala ya kumvumilia bosi wake aeleze tatizo lake? Kisaikolojia yule mwananchi ni mwathirika (labda wa mambo mengi), Lukuvi alipaswa kumvumilia tu angemwelewa!Huyu mwananchi amemdharau sana Lukuvi, na kaongea kishari shari sana.
Haya ndiyo matatizo ya dikteta kuhodhi madaraka yote. Wananchi wanaanza kuwaona mawaziri kama takataka tu.
Mitano tena!
mkuu kila nyuzi nakukuta...HatariSikuwahi jua huyu waziri ana kiburi na dharau hivi. Khaaah.
Rais amtumbue huyu waziri hafai kabisa.
Afu anajibu kijeuri "nenda kamuone rais" jamani hata mshipa wa aibu hana.
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka huyo mama anamlazimisha mlinzi amtoe nje huyo m/kiti,
M/kiti nae anajibu "wee mama usiseme hivo je angekua rais hapa unaweza sema hivyo?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujasoma comment zote.Sijaona Clip ila kwa maelezo ya watu waziri yupo sahihi.
Halafu kuna watu wanadai kuwa awamu hii wanatengeneza systems....!!ila yupo sahihi,magufuli ndiyo kila kitu nchi hii
Naye lakini ana kosa, kwa nini aanze kutambia uasisi wa babake? Kwani kama angeeleza kwa staha ingekuwaje?
ni chizi huyo namjua vizuri sana nishakaa naye sana villa parkUkiitizama hii video kwa makini ukiwa neutral kabisa utagundua huyo mwananchi ana changamoto kidogo ktk akili yake,hana utulivu kabisa.
Ndg Lukuvi alipaswa kuwa mtulivu kwa kuliona hilo angeahirisha kumsikiliza kwa kumuambia tu kwa utulivu wewe jambo lako ni zito tuonane pale ofisini.
Akija ofisini unachukua mabarua yake hayo unamuambia kaa hapo kunywa chai usizungumze,unazisoma ukielewa unatoa uamuzi.
Uongozi ni pamoja na uvumilivu wa kumudu personality za Watu.
Hivi hiyo sura ni ya kudhulumiwa?. Binadamu wanajitoa ufahamu kipindi hiki. Ni sawa na yule mama wa Tanga. Alilia machozi yakatoka kumbe Tapeli.MTU ana Jazba ya kuona kuwa anadhulumiwa, waziri alipaswa kuwa Humble na kumvumilia Mwananchi na angempa muda Wa kumsikiliza ili amwelewe.
Badala yake nilichoona ni Waziri anajimwambafai tu, ila Hamna kitu kabisa..
Miaka ya nyuma kidogo nilikwenda Tanesco wakati bado wapo pale ntuma ya samora avenue station au kama unaenda Police central, nilikwenda kumuona ofisa mmoja kwa ajili ya kunifungia Luku nyumbani.Huyo jamaa kamfuata Waziri kulalamika kwa sababu huko chini kote kaona hajapata haki.
Kuna tatizo ikiwa nchi mtu hapati haki mpaka aonane na waziri au Rais.
Wamekutana wote wajivuniHuyo mzee ana matatizo sasa akisema yeye ni mtoto wa Muasisi ili aonewe huruma ama nini?
Kiufupi amekosea timing na anaonekana mjivuni