Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,546
- 2,983
Kwani nyie mnamuamini Mwigu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wakisema wataibaje ingawa wataiba tuHivi mbona siku hizi tozo zinazokusanywa kwa mwezi hazisemwi tena[emoji848]
Hapana, mimi sina uchungu wowote wala sisemi kuwa Mwigulu sio mwizi.Wewe Gagnija ni Mwigulu mwenyewe nini? Maana si kwa uchungu huo
Esther ni jina la mkewe, je mke wake atakuwa kapata wapi pesa?Hapana, mimi sina uchungu wowote wala sisemi kuwa Mwigulu sio mwizi.
Nachojaribu kuangalia ni kama huyo mtoa tuhuma anaweza kuthibitisha wizi wa Mwigulu akitakiwa kufanya hivyo.
Mwenyewe umeandika kuwa kampuni ya mabasi ni ya Esther, ndo maana nikauliza Mwigulu ana hisa % ngapi kwenye hiyo kampuni?
Kama hana hisa inakuwa ngumu sana kisheria kumhusisha na hiyo kampuni hata kama ni ya mkewe.
Una mahaba na Wachaga wewe.... Ila Huyo mzee hana accent ya Kichaga.Hao wazee wa kichaga wamechanganyikiwa na lichama lao la kikabila.
TUKUMBUKE uhuru wa kuongea sio kutoka matusi Kwa mtu mwingine. Hivi akiitwa aeleze alichokisema, anaweza thibitisha??Ni kumchana live tu.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema amesema uzalendo sio kuvaa tai ya bendera. Amemwambia Dr. Mwigulu Nchemba asiwadanganye raia kwa kuvaa bendera na kumtuhumu kuwa yeye ndiye mwizi na fisadi namba moja nchi hii.
View attachment 2374399
We mburula si ulikuwa unatetea utawala wa Mama. Sasa na weww kula kwa urefu wa kamba uliyonayo.Esther ni jina la mkewe, je mke wake atakuwa kapata wapi pesa?
Njia za kupata pesa/mtaji kwake mbona zipo nyingi sana.Esther ni jina la mkewe, je mke wake atakuwa kapata wapi pesa?
Pole mkuu!!Nchi ngumu sana hii
Pole yuuu viii sisiemu!!CcM inatupeleka pabaya
Duh !!Esther ni jina la mkewe, je mke wake atakuwa kapata wapi pesa?
Sio habari mpya hiyo, wenye akili wote tunalijua hilo kasoro yale machawa tu ndiyo yananifanya hayajui n hayaoniNi kumchana live tu.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema amesema uzalendo sio kuvaa tai ya bendera. Amemwambia Dr. Mwigulu Nchemba asiwadanganye raia kwa kuvaa bendera na kumtuhumu kuwa yeye ndiye mwizi na fisadi namba moja nchi hii.
View attachment 2374399
Imekuingia eehh..Hao wazee wa kichaga wamechanganyikiwa na lichama lao la kikabila.
Wewe ukiitwa umtetee mwizi Mwigulu utaweza?TUKUMBUKE uhuru wa kuongea sio kutoka matusi Kwa mtu mwingine. Hivi akiitwa aeleze alichokisema, anaweza thibitisha??
Ni kumchana live tu.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema amesema uzalendo sio kuvaa tai ya bendera. Amemwambia Dr. Mwigulu Nchemba asiwadanganye raia kwa kuvaa bendera na kumtuhumu kuwa yeye ndiye mwizi na fisadi namba moja nchi hii.
View attachment 2374399
Dah.... "Na hili nalo nendeni mkaliangalie" 😂😂😂😂Nchi ngumu sana hii
Who is tindo by the way?
Dada hujaacha umalaya wako wa kisiasa?Hao wazee wa kichaga wamechanganyikiwa na lichama lao la kikabila.