Mwenyekiti BAZECHA: Mwigulu Nchemba ni mwizi, tapeli na fisadi namba one

Mwenyekiti BAZECHA: Mwigulu Nchemba ni mwizi, tapeli na fisadi namba one

Ni kumchana live tu.

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema amesema uzalendo sio kuvaa tai ya bendera. Amemwambia Dr. Mwigulu Nchemba asiwadanganye raia kwa kuvaa bendera na kumtuhumu kuwa yeye ndiye mwizi na fisadi namba moja nchi hii.

View attachment 2374399
Hafai hata kwa dawa mwizi na Jambazi mkubwa sijui kwanini Samia alimteua,Ajiuzulu mwizi huyu,Samia fukuza huyo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Huyu mzee kaniangusha Sana. Chadema huwa hawatoi kibwege namna hii. Tuhuma "mvuke" zisizoambatana na ushahidi ni mipasho tu.

Akamatwe mara moja huyu mzee akathibitishe mahamani na chama kisimtetee.

Na kwanza nashangaa aliruhusiwa vipi kutumia madhabahu ya chama kuongea utopolo huo??
Kwani ikitokea watu wakala jicho lako na kukuvunjia yai halafu ukakosa ushahidi je wamekula au hawajala?
 
Wivu huo , umetumwa na watesi wa Mwigulu

Dr.Mwigulu Peleka kwa kukupa shutuma hasizo na ushaidi nazo iwe fundisho kwa wengine wanaotunga tunga na kuchafua majina ya watu
 
We mburula si ulikuwa unatetea utawala wa Mama. Sasa na weww kula kwa urefu wa kamba uliyonayo.
Hapo ndiyo Nyankurungu2020 unakosea. Unataka nisifie hata makosa ya Serikali ya Samia kama nyinyi mnavyotetea UHAYAWANI wite wa Magufuli mpaka leo? Ila nashukuru umenitambua kuwa kwenye uozo nakosoa kwa hiyo nikisifia mema yakubali pia

Mimi niko OBJECTIVE
 
Ni kumchana live tu.

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema amesema uzalendo sio kuvaa tai ya bendera. Amemwambia Dr. Mwigulu Nchemba asiwadanganye raia kwa kuvaa bendera na kumtuhumu kuwa yeye ndiye mwizi na fisadi namba moja nchi hii.

View attachment 2374399
Naona bado tuna safari ndefu sana kama hoja zenyewe ni hizi mi nilipoona kichwa cha habari nikaja mbio nikazani Mzee kaja na vielelezo kapu zima kama ilivyokua zama za slaa, yule Mzee alikuwa akikupiga spana huchomoki walah! Sasa umetupostia haya makelele ambayo hata walevi baa wanaweza kuyapiga!
 
Hapo ndiyo Nyankurungu2020 unakosea. Unataka nisifie hata makosa ya Serikali ya Samia kama nyinyi mnavyotetea UHAYAWANI wite wa Magufuli mpaka leo? Ila nashukuru umenitambua kuwa kwenye uozo nakosoa kwa hiyo nikisifia mema yakubali pia

Mimi niko OBJECTIVE
Pumbavu mkubwa. Unaendekeza chuki na upuuzi ndio iwe Objective.
 
Kama ni msafi aende mahakamani akashtaki ili asafishwe kwa kuitwa fisadi no.1
Tofauti na hapo akae kimya asiende kuumbuka mahakamani, anyway nipo ndani ya basi la Ester ngoja nifike Singida niandike kwa urefu.
 
Esther ni jina la mkewe, je mke wake atakuwa kapata wapi pesa?


Mke wake haitwi Esther kwanza hili anasingiziwa. Kupata Hela wapi Inaweza Kua ni sadaka za wananchi / fungu la kumi mke wake ni Muhubili Kanisani Makongo juu

Ameokoka Machoni rohoni Hakuna kitu Majirani wa Tegeta walishukuru walivyoama mwanamke Mjivuni, kisirani,Mkorofi mwenye Maringo Mlokole gani unafungua betting Company kuna Binti mrembo mweupe mwenye umbo la kimodel alifukuzwa Kanisani na mke wa Mwigulu kwa Kua huyo Binti alimuomba Mwigulu amsaidie kutafuta kazi . Mke akaona wivu ataibiwa yeye ni mweusi mumewe anapenda Rangi za mtume

Dk. Mwigulu tukikupa Nchi mlekebishe Mama taratibu au oa mke wa Pili Yule Mmachame umekosea Njia
 
Back
Top Bottom