Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwigulu anakosa ganiiWewe ukiitwa umtetee mwizi Mwigulu utaweza?
MwiziKwani mwigulu anakosa ganii
Naona asali imekukolea sasa unatukana tu watanzania.Hao wazee wa kichaga wamechanganyikiwa na lichama lao la kikabila.
Na akipelekwa mahakamani watu wasilalamike, maana kuropoka bila ushahidi ni jinai.Kwanini asiitwe aelezee hoja zake mahakamani? Labda anaushahidi
Hafai hata kwa dawa mwizi na Jambazi mkubwa sijui kwanini Samia alimteua,Ajiuzulu mwizi huyu,Samia fukuza huyoNi kumchana live tu.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema amesema uzalendo sio kuvaa tai ya bendera. Amemwambia Dr. Mwigulu Nchemba asiwadanganye raia kwa kuvaa bendera na kumtuhumu kuwa yeye ndiye mwizi na fisadi namba moja nchi hii.
View attachment 2374399
Kwani ikitokea watu wakala jicho lako na kukuvunjia yai halafu ukakosa ushahidi je wamekula au hawajala?Huyu mzee kaniangusha Sana. Chadema huwa hawatoi kibwege namna hii. Tuhuma "mvuke" zisizoambatana na ushahidi ni mipasho tu.
Akamatwe mara moja huyu mzee akathibitishe mahamani na chama kisimtetee.
Na kwanza nashangaa aliruhusiwa vipi kutumia madhabahu ya chama kuongea utopolo huo??
Hapo ndiyo Nyankurungu2020 unakosea. Unataka nisifie hata makosa ya Serikali ya Samia kama nyinyi mnavyotetea UHAYAWANI wite wa Magufuli mpaka leo? Ila nashukuru umenitambua kuwa kwenye uozo nakosoa kwa hiyo nikisifia mema yakubali piaWe mburula si ulikuwa unatetea utawala wa Mama. Sasa na weww kula kwa urefu wa kamba uliyonayo.
Naona bado tuna safari ndefu sana kama hoja zenyewe ni hizi mi nilipoona kichwa cha habari nikaja mbio nikazani Mzee kaja na vielelezo kapu zima kama ilivyokua zama za slaa, yule Mzee alikuwa akikupiga spana huchomoki walah! Sasa umetupostia haya makelele ambayo hata walevi baa wanaweza kuyapiga!Ni kumchana live tu.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema amesema uzalendo sio kuvaa tai ya bendera. Amemwambia Dr. Mwigulu Nchemba asiwadanganye raia kwa kuvaa bendera na kumtuhumu kuwa yeye ndiye mwizi na fisadi namba moja nchi hii.
View attachment 2374399
Pumbavu mkubwa. Unaendekeza chuki na upuuzi ndio iwe Objective.Hapo ndiyo Nyankurungu2020 unakosea. Unataka nisifie hata makosa ya Serikali ya Samia kama nyinyi mnavyotetea UHAYAWANI wite wa Magufuli mpaka leo? Ila nashukuru umenitambua kuwa kwenye uozo nakosoa kwa hiyo nikisifia mema yakubali pia
Mimi niko OBJECTIVE
Esther ni jina la mkewe, je mke wake atakuwa kapata wapi pesa?
Hatari gani?Huyu mzee ni hatari 😂
Chama lako hilo wewe mbwigaCcM inatupeleka pabaya