Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti

Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM??

====



Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe ana nguvu za kukitumikia chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari Ijumaa Desemba 13, 2024, Masaga amesema Mbowe amepambana kukifikisha Chama hicho mahali kilipofika na kueleza kuwa yuko tayari kuongoza mchango wa kumchukulia Mbowe fomu ya kugombea na kwenda kumshawishi agombee uenyekiti.

Pia soma: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA

“Mimi kama mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya nilitamani ningepata hata muda nikamwombe Freeman Mbowe, naye pia aingie kwenye kinyang'anyiro cha kugombea, ninatamani mwenyekiti aliyepo aendelee kuwa mwenyekiti kwasababC bado ana nguvu za kukitumikia hiki Chama na chama chetu cha upinzani kinahitaji watu, sasa leo hii akaastafu akawe kama mzee Mtei ni jambo la utani, Mbowe ndiyo kwanza bado kabisa, huwezi ukamwita Freeman Mbowe mzee", ameeleza Masaga.

Hata hivyo kiongozi huyo amesema anaona nafasi ya Tundu Lissu kuongoza chama hicho kwa siku za usoni lakini siyo kwa sasa akidai Mbowe bado anahitajika na wanachama walio wengi ili kukijenga zaidi chama hicho.
 
Katupa jiwe gizani na nanukuu"Hatutaki Mwenyekiti mwenye mihemko"
Aluta Continua.Mtifuano unaendelea.
 
Wakuu,

Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM??

====

View attachment 3175976

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe ana nguvu za kukitumikia chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari Ijumaa Desemba 13, 2024, Masaga amesema Mbowe amepambana kukifikisha Chama hicho mahali kilipofika na kueleza kuwa yuko tayari kuongoza mchango wa kumchukulia Mbowe fomu ya kugombea na kwenda kumshawishi agombee uenyekiti.

“Mimi kama mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya nilitamani ningepata hata muda nikamwombe Freeman Mbowe, naye pia aingie kwenye kinyang'anyiro cha kugombea, ninatamani mwenyekiti aliyepo aendelee kuwa mwenyekiti kwasababC bado ana nguvu za kukitumikia hiki Chama na chama chetu cha upinzani kinahitaji watu, sasa leo hii akaastafu akawe kama mzee Mtei ni jambo la utani, Mbowe ndiyo kwanza bado kabisa, huwezi ukamwita Freeman Mbowe mzee", ameeleza Masaga.

Hata hivyo kiongozi huyo amesema anaona nafasi ya Tundu Lissu kuongoza chama hicho kwa siku za usoni lakini siyo kwa sasa akidai Mbowe bado anahitajika na wanachama walio wengi ili kukijenga zaidi chama hicho.
Akili mgando hizi,kwani Lisu akiwa mwenyekiti Mbowe hawezi kukitumikia chama kwa nafasi nyingine?
 
TL ni mlemavu! Hawezi mikiki mikiki!
Na arudishe familia ya Tz.
Unaweza kudhihaki na kucheka chochote ila USIMDHIHAKI MTU KWA KILEMA CHAKE. Na mbaya zaidi unamcheka mtu kwa kilema cha kusababishiwa.

Mdogo wangu, dunia ina mengi hii, jifunze kutunza maneno. Kumbuka bado unaishi humu humu duniani wewe pamoja na ndugu zako.

Unaweza tunza comment yangu hii kwa rejea huko baadae

Asante
 
Hii ndiyo aina ya demokrasia inayotakiwa ndani ya chama kikubwa na chenye hadhi. Pale vongozi wa juu wa chama wanapotia nia katika kinyang'anyiro cha nafasi moja ya juu kabisa ya uongozi wa chama.

Ni jambo muhimu sana kwa M/Kiti Taifa anaye maliza muda kushindana na kada mwingine mwenye uwezo ili kuweza kupima umahiri wake. Makundi mbalimbali ni lazima yajitokeze ili kuunga ama kutounga mkono upande fulani.. Hii ni fursa nzuri katika kulinganisha fikra pevu, maono, na hata hatma ya siku zijazo za kutafuta ustawi wa chama kuendana na matakwa ya wakati.

Ila ikifika mwisho wa mchakato huu wa kidemokrasia, kila kitu kitakuwa bayana, tutapata jibu mshindi ni nani. Kila heri Mh. Mbowe, kila la heri Mh. Lissu. Atakayeshindwa ni lazima akubaluane na matokeo. Visijitokeze visingizio kuhusu kushindwa kwa mtu
 
Wakuu,

Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM??

====

View attachment 3175976

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe ana nguvu za kukitumikia chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari Ijumaa Desemba 13, 2024, Masaga amesema Mbowe amepambana kukifikisha Chama hicho mahali kilipofika na kueleza kuwa yuko tayari kuongoza mchango wa kumchukulia Mbowe fomu ya kugombea na kwenda kumshawishi agombee uenyekiti.

Pia soma: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA

“Mimi kama mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya nilitamani ningepata hata muda nikamwombe Freeman Mbowe, naye pia aingie kwenye kinyang'anyiro cha kugombea, ninatamani mwenyekiti aliyepo aendelee kuwa mwenyekiti kwasababC bado ana nguvu za kukitumikia hiki Chama na chama chetu cha upinzani kinahitaji watu, sasa leo hii akaastafu akawe kama mzee Mtei ni jambo la utani, Mbowe ndiyo kwanza bado kabisa, huwezi ukamwita Freeman Mbowe mzee", ameeleza Masaga.

Hata hivyo kiongozi huyo amesema anaona nafasi ya Tundu Lissu kuongoza chama hicho kwa siku za usoni lakini siyo kwa sasa akidai Mbowe bado anahitajika na wanachama walio wengi ili kukijenga zaidi chama hicho.
Ninavyojua Mbeya imekaa kimchongo,kwanini watu wa huko wote wanamgwaya TL?
 
Sawa. LAKINI acha Mbowe apumzike, ili thamani yake (kwa kadiri ilivyo) idhihirike.

Sasa hivi ametuhumiwa kwa mengi sana yanayoshusha thamani yake kama kiongozi mkuu wa CHADEMA. Kazi kubwa aliyofanya imeanza kusahaulika. Akiendelea kuwa madarakani, atapoteza legacy yake yote. Na hata kuchukiwa! Nyerere alijikuta kwenye mazingira aina hiyo ikabidi ang'atuke bila kutaka.

Mbowe akae pembeni watu wapime wenyewe.
 
Hii ndiyo aina ya demokrasia inayotakiwa ndani ya chama kikubwa na chenye hadhi. Pale vongozi wa juu wa chama wanapotia nia katika kinyang'anyiro cha nafasi moja ya juu kabisa ya uongozi wa chama.

Ni jambo muhimu sana kwa M/Kiti Taifa anaye maliza muda kushindana na kada mwingine mwenye uwezo ili kuweza kupima umahiri wake. Makundi mbalimbali ni lazima yajitokeze ili kuunga ama kutounga mkono upande fulani.. Hii ni fursa nzuri katika kulinganisha fikra pevu, maono, na hata hatma ya siku zijazo za kutafuta ustawi wa chama kuendana na matakwa ya wakati.

Ila ikifika mwisho wa mchakato huu wa kidemokrasia, kila kitu kitakuwa bayana, tutapata jibu mshindi ni nani. Kila heri Mh. Mbowe, kila la heri Mh. Lissu. Atakayeshindwa ni lazima akubaluane na matokeo. Visijitokeze visingizio kuhusu kushindwa kwa mtu
Kabisa maana upande ule mwingine washaambiwa form ni moja asitoke mtu kuchuana na mama

Ova
 
Back
Top Bottom