Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tusubiri Kwanza kauli ya MboweErythrocyte yapi maoni yako ? 😏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri Kwanza kauli ya MboweErythrocyte yapi maoni yako ? 😏
Machawa ya Chadomo yatauana mwaka huu 😂😂👇👇Wakuu,
Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM??
====
View attachment 3175976
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe ana nguvu za kukitumikia chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari Ijumaa Desemba 13, 2024, Masaga amesema Mbowe amepambana kukifikisha Chama hicho mahali kilipofika na kueleza kuwa yuko tayari kuongoza mchango wa kumchukulia Mbowe fomu ya kugombea na kwenda kumshawishi agombee uenyekiti.
Pia soma: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA
“Mimi kama mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya nilitamani ningepata hata muda nikamwombe Freeman Mbowe, naye pia aingie kwenye kinyang'anyiro cha kugombea, ninatamani mwenyekiti aliyepo aendelee kuwa mwenyekiti kwasababC bado ana nguvu za kukitumikia hiki Chama na chama chetu cha upinzani kinahitaji watu, sasa leo hii akaastafu akawe kama mzee Mtei ni jambo la utani, Mbowe ndiyo kwanza bado kabisa, huwezi ukamwita Freeman Mbowe mzee", ameeleza Masaga.
Hata hivyo kiongozi huyo amesema anaona nafasi ya Tundu Lissu kuongoza chama hicho kwa siku za usoni lakini siyo kwa sasa akidai Mbowe bado anahitajika na wanachama walio wengi ili kukijenga zaidi chama hicho.
Msamehe,, hajui Dunia inazunguka Leo kwangu kesho kwako.Unaweza kudhihaki na kucheka chochote ila USIMDHIHAKI MTU KWA KILEMA CHAKE. Na mbaya zaidi unamcheka mtu kwa kilema cha kusababishiwa.
Mdogo wangu, dunia ina mengi hii, jifunze kutunza maneno. Kumbuka bado unaishi humu humu duniani wewe pamoja na ndugu zako.
Unaweza tunza comment yangu hii kwa rejea huko baadae
Asante
Msamehe,, hajui Dunia inazunguka Leo kwangu kesho kwako.
Unataka awe mropokaji na mtukanajiUjinga mtupu mbowe hajachoka lakini haendani na mikiki mikiki
Mbowe si amesema bado yupo sana au hujamsikia ?🐼Tusubiri Kwanza kauli ya Mbowe
Baadaye tutakuja kusikia tutamlazimisha mama agombee awamu ya tatu.Wakuu,
Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM??
====
View attachment 3175976
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe ana nguvu za kukitumikia chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari Ijumaa Desemba 13, 2024, Masaga amesema Mbowe amepambana kukifikisha Chama hicho mahali kilipofika na kueleza kuwa yuko tayari kuongoza mchango wa kumchukulia Mbowe fomu ya kugombea na kwenda kumshawishi agombee uenyekiti.
Pia soma: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA
“Mimi kama mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya nilitamani ningepata hata muda nikamwombe Freeman Mbowe, naye pia aingie kwenye kinyang'anyiro cha kugombea, ninatamani mwenyekiti aliyepo aendelee kuwa mwenyekiti kwasababC bado ana nguvu za kukitumikia hiki Chama na chama chetu cha upinzani kinahitaji watu, sasa leo hii akaastafu akawe kama mzee Mtei ni jambo la utani, Mbowe ndiyo kwanza bado kabisa, huwezi ukamwita Freeman Mbowe mzee", ameeleza Masaga.
Hata hivyo kiongozi huyo amesema anaona nafasi ya Tundu Lissu kuongoza chama hicho kwa siku za usoni lakini siyo kwa sasa akidai Mbowe bado anahitajika na wanachama walio wengi ili kukijenga zaidi chama hicho.
Wanaiga tu kutoka chama kubwa CCM
Ngoma inogile ndani ya Chadema,Wakuu,
Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM??
====
View attachment 3175976
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe ana nguvu za kukitumikia chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari Ijumaa Desemba 13, 2024, Masaga amesema Mbowe amepambana kukifikisha Chama hicho mahali kilipofika na kueleza kuwa yuko tayari kuongoza mchango wa kumchukulia Mbowe fomu ya kugombea na kwenda kumshawishi agombee uenyekiti.
Pia soma: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA
“Mimi kama mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya nilitamani ningepata hata muda nikamwombe Freeman Mbowe, naye pia aingie kwenye kinyang'anyiro cha kugombea, ninatamani mwenyekiti aliyepo aendelee kuwa mwenyekiti kwasababC bado ana nguvu za kukitumikia hiki Chama na chama chetu cha upinzani kinahitaji watu, sasa leo hii akaastafu akawe kama mzee Mtei ni jambo la utani, Mbowe ndiyo kwanza bado kabisa, huwezi ukamwita Freeman Mbowe mzee", ameeleza Masaga.
Hata hivyo kiongozi huyo amesema anaona nafasi ya Tundu Lissu kuongoza chama hicho kwa siku za usoni lakini siyo kwa sasa akidai Mbowe bado anahitajika na wanachama walio wengi ili kukijenga zaidi chama hicho.
Machawa ya Chadomo yatauana mwaka huu 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DDhlDxnCS96/?igsh=enY0Ym1neDJjeXNs
Ni kweli yupo Chadema, lakini je atagombea? Kuna kitu fulani kwenye jambo hili hukijuiMbowe si amesema bado yupo sana au hujamsikia ?🐼
Jinga wewe tutoe hata fomu mbiliWanaiga tu kutoka chama kubwa CCM