Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti

Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM??

====

View attachment 3175976

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe ana nguvu za kukitumikia chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari Ijumaa Desemba 13, 2024, Masaga amesema Mbowe amepambana kukifikisha Chama hicho mahali kilipofika na kueleza kuwa yuko tayari kuongoza mchango wa kumchukulia Mbowe fomu ya kugombea na kwenda kumshawishi agombee uenyekiti.

Pia soma: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA

“Mimi kama mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya nilitamani ningepata hata muda nikamwombe Freeman Mbowe, naye pia aingie kwenye kinyang'anyiro cha kugombea, ninatamani mwenyekiti aliyepo aendelee kuwa mwenyekiti kwasababC bado ana nguvu za kukitumikia hiki Chama na chama chetu cha upinzani kinahitaji watu, sasa leo hii akaastafu akawe kama mzee Mtei ni jambo la utani, Mbowe ndiyo kwanza bado kabisa, huwezi ukamwita Freeman Mbowe mzee", ameeleza Masaga.

Hata hivyo kiongozi huyo amesema anaona nafasi ya Tundu Lissu kuongoza chama hicho kwa siku za usoni lakini siyo kwa sasa akidai Mbowe bado anahitajika na wanachama walio wengi ili kukijenga zaidi chama hicho.
Machawa ya Chadomo yatauana mwaka huu 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DDhlDxnCS96/?igsh=enY0Ym1neDJjeXNs
 
Unaweza kudhihaki na kucheka chochote ila USIMDHIHAKI MTU KWA KILEMA CHAKE. Na mbaya zaidi unamcheka mtu kwa kilema cha kusababishiwa.

Mdogo wangu, dunia ina mengi hii, jifunze kutunza maneno. Kumbuka bado unaishi humu humu duniani wewe pamoja na ndugu zako.

Unaweza tunza comment yangu hii kwa rejea huko baadae

Asante
Msamehe,, hajui Dunia inazunguka Leo kwangu kesho kwako.
 
Wakuu,

Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM??

====

View attachment 3175976

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe ana nguvu za kukitumikia chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari Ijumaa Desemba 13, 2024, Masaga amesema Mbowe amepambana kukifikisha Chama hicho mahali kilipofika na kueleza kuwa yuko tayari kuongoza mchango wa kumchukulia Mbowe fomu ya kugombea na kwenda kumshawishi agombee uenyekiti.

Pia soma: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA

“Mimi kama mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya nilitamani ningepata hata muda nikamwombe Freeman Mbowe, naye pia aingie kwenye kinyang'anyiro cha kugombea, ninatamani mwenyekiti aliyepo aendelee kuwa mwenyekiti kwasababC bado ana nguvu za kukitumikia hiki Chama na chama chetu cha upinzani kinahitaji watu, sasa leo hii akaastafu akawe kama mzee Mtei ni jambo la utani, Mbowe ndiyo kwanza bado kabisa, huwezi ukamwita Freeman Mbowe mzee", ameeleza Masaga.

Hata hivyo kiongozi huyo amesema anaona nafasi ya Tundu Lissu kuongoza chama hicho kwa siku za usoni lakini siyo kwa sasa akidai Mbowe bado anahitajika na wanachama walio wengi ili kukijenga zaidi chama hicho.
Baadaye tutakuja kusikia tutamlazimisha mama agombee awamu ya tatu.
Halafu utasikia wale wale waliokuwa wanasema watamlazimisha fulani wanalalamika...
Siasa za nchi hii zinachekesha kweli.
Mfano kuna wanaomlalamikia lissu kwa kusema ubovu wa yanayoendelea, halafu ndio hao hao wanaowaponda chawa wa ccm wanaofagilia na kusifia kila kitu kinachofanywa na serikali ya ccm. Sasa hao si wanafanya kile ambacho wanaomlalamikia lissu wangependa afanye.
 
Mh. Mbowe ni jabari la siasa za nchi yetu - bado ana nguvu; Lissu asubiri muda wake ukifika atapewa chama.
 
Wakuu,

Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM??

====

View attachment 3175976

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe ana nguvu za kukitumikia chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari Ijumaa Desemba 13, 2024, Masaga amesema Mbowe amepambana kukifikisha Chama hicho mahali kilipofika na kueleza kuwa yuko tayari kuongoza mchango wa kumchukulia Mbowe fomu ya kugombea na kwenda kumshawishi agombee uenyekiti.

Pia soma: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA

“Mimi kama mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya nilitamani ningepata hata muda nikamwombe Freeman Mbowe, naye pia aingie kwenye kinyang'anyiro cha kugombea, ninatamani mwenyekiti aliyepo aendelee kuwa mwenyekiti kwasababC bado ana nguvu za kukitumikia hiki Chama na chama chetu cha upinzani kinahitaji watu, sasa leo hii akaastafu akawe kama mzee Mtei ni jambo la utani, Mbowe ndiyo kwanza bado kabisa, huwezi ukamwita Freeman Mbowe mzee", ameeleza Masaga.

Hata hivyo kiongozi huyo amesema anaona nafasi ya Tundu Lissu kuongoza chama hicho kwa siku za usoni lakini siyo kwa sasa akidai Mbowe bado anahitajika na wanachama walio wengi ili kukijenga zaidi chama hicho.
Ngoma inogile ndani ya Chadema,

kasongo yeye mobali na ngai...

Chadema kuna uhuru wa kujieleza sana, halafu cha kushangaza kuna watu wanaumia moyo kichizi mtu kama huyo alivyotoa mapendekezo yake 🤣

eti wanamuita CCM 🤣
 
CCM Chadema ACT wote lao moja, kujinufaisha wao kama wao. Wala tusitegemee mwanasiasa yoyote wa kuleta mabadiliko. Unless atokee jenerali wa jw mmoja kichaa afanye mapinduzi jeshi libebe nchi.
 
Assad alishinda kwa zaidi ya asilimia 93%

Mbowe anashindana na Assad kukaa muda mrefu madarakani
 
Wakati wa uchaguzi ngazi za chini, Mbowe aliweka base ya wapiga kura katila uchaguzi mkuu wa chama
 
Back
Top Bottom