Mwenyekiti, Katibu Mkuu CHADEMA kigugumizi cha nini sakata la Wabunge wa Viti Maalum?

Mwenyekiti, Katibu Mkuu CHADEMA kigugumizi cha nini sakata la Wabunge wa Viti Maalum?

Mnahangaika sana, Chadema ni taasisi imara. Alikuwepo Zitto, alipotoka mlifikiri Chadema itakufa. Alikuwepo Dr Slaa, apoondoka mlifikiri Chadema itakufa.
Wakati wa Zito chadema ilikuwa na wabunge wangapi na leo ina wabunge wangapi?
 
Kuwa na mwanamke mpinzani wa aina ya Halima Mdee, Ester Bulaya na Ester Matiko ni fahara kubwa sana kwa chama na nguvu ya harakati.

1. Ni wahamasishaji wazuri.
2. Waliwapa wanawake ujasiri na sababu ya kujivunia.
3. Walitoa picha ya harakati shirikishi.

Kilichowakuta ni nini? Mimi sifahamu.
Kwa Dr.Slaa ilikua rahisi sana kutabiri, alikua na kila sifa ya Yuda Isikarioti, hata sura!
Ila Halima?
Ester Bulaya?

Nataka niamini kuna INTIMIDATION kubwa sana nyuma ya hili zoezi!
Nataka niamini it was against their will.
Ila hizi ni imani tu.

Muda ndio mwalimu mwema!
Lakini Kwa upande mwingine ni baraka! Kule bungeni ni kati ya viwanja vinavyoitaji watu wetu!
 
Kuwa na mwanamke mpinzani wa aina ya Halima Mdee, Ester Bulaya na Ester Matiko ni fahara kubwa sana kwa chama na nguvu ya harakati.

1. Ni wahamasishaji wazuri.
2. Waliwapa wanawake ujasiri na sababu ya kujivunia.
3. Walitoa picha ya harakati shirikishi.

Kilichowakuta ni nini? Mimi sifahamu.
Kwa Dr.Slaa ilikua rahisi sana kutabiri, alikua na kila sifa ya Yuda Isikarioti, hata sura!
Ila Halima?
Ester Bulaya?

Nataka niamini kuna INTIMIDATION kubwa sana nyuma ya hili zoezi!
Nataka niamini it was against their will.
Ila hizi ni imani tu.

Muda ndio mwalimu mwema!
Since day one, those guys engender so much fear of Covid-19. Sasa ulivyoiweka kwenye title ndiyo kabisa umechochea fire & fury.
 
hizo sifa zote ulizowapa hao mabinti zimeyeyuka kama barafu kwenye jua since wameamua kukumbatiana na shetani.

Wamekwenda na maji tayari hao.
 
Baada ya Mheshimiwa Halima Mdee kula kiapo cha Ubunge kupitia viti maalum,alitoa shukrani kwa chama chake na Kwa Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.

Sasa katibu mkuu wa chama mheshimiwa Mnyika alitakiwa ajue kusoma katikati ya mistari (read between lines) kwamba Mbowe hakutajawa na Mheshimwa Halima Mdee kwa bahati mbaya.Na Halima Mdee alionekana anaongea kwa unyenyekevu mkubwa jambo ambalo sio kawaida yake.

Sasa mimi naona mheshimiwa Mnyika ninaamini yupo vizuri na anayaona mambo kwenye 'three dimension' na ameshaamua liwalo na liwe.
 
Mnyika anajaribu kuwaaminisha wadanganyika/wadangaji wa nyikani kuwa Halima Mdee na mumewe wanaweza kwenda kula kiapo bila kushauriana na wenye chama(wachaga)
 
Baada ya Mheshimiwa Halima Mdee kula kiapo cha Ubunge kupitia viti maalum,alitoa shukrani kwa chama chake na Kwa Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.Sasa katibu mkuu wa chama mheshimiwa Mnyika alitakiwa ajue kusoma katikati ya mistari (read between lines) kwamba Mbowe hakutajawa na Mheshimwa Halima Mdee kwa bahati mbaya.Na Halima Mdee alionekana anaongea kwa unyenyekevu mkubwa jambo ambalo sio kawaida yake.
Sasa mimi naona mheshimiwa Mnyika ninaamini yupo vizuri na anayaona mambo kwenye 'three dimension' na ameshaamua liwalo na liwe.

Ok
 
Hiki ndo ambacho nilikua nakiwaza, nadhani tumemfahamu Tundu Lissu kwa muda mrefu, ni wakati wa kuanzisha chama chake sasa, hakika watu wenye misimamo kama yake tupo na labda itakua ndio njia mpya kuelekea serikali mpya. Ila kwa Chadema i think tumeona sura harisi ya walio wengi kule katika uongozi, tamaa na kutokujiamini na kutochange mbinu vinawamaliza very slowly, God forbid !!!!
Dah....wakati wewe unawaza misimamo thabit....Dijei anawaza ELA [emoji2960][emoji23][emoji23]
 
Mbowe ana biashara zake za kusimamia, J J Mnyika anatosha!

Ya CDM yanawahusu vipi mboga mboga?

Hii wanaitaga "poking of noses onto issues of no concern to yourselves," yaani "kupiga chabo" kwa Kiswahili.

Hiiii bagosha!
 
Kuweka misimamo wazi siyo kuropoka.

Kwamba kuna mbunge bungeni na haafikiani na msingi mkuu wa chama kuhusiana na haramu ya uchaguzi wa 2020, kumlea huyo ni kulea kansa.

"If you disobey you go."

Hiyo si kuropoka. Huo ni msimamo thabiti!
2010 Chadema wakiwa na Slaa waliyakataa matokeo ila Mbowe,Lema,Mnyika,Sugu wakaenda bungeni.2015 wakiwa na Lowasa hawajakubali pia matokeo lakini kwa bashasaha na kina Heche ndani walitinga bungeni.2020 hawajakubali matokeo tena ila cha ajabu wanawazuia Bawacha wasiende bungeni!!
 
2010 Chadema wakiwa na Slaa waliyakataa matokeo ila Mbowe,Lema,Mnyika,Sugu wakaenda bungeni.2015 wakiwa na Lowasa hawajakubali pia matokeo lakini kwa bashasaha na kina Heche ndani walitinga bungeni.2020 hawajakubali matokeo tena ila cha ajabu wanawazuia Bawacha wasiende bungeni!!

Mkuu kwa kauli hii ni kuwa mlizowea kuiiba mkijua kuwa watakwenda tu bungeni. Au siyo? Sasa mnashangaa kuwa ndiyo pori jipya, lakini nyani si wale wale?

Yaani kukwiba mmekwiba Ila tu hamtakaa mkiri ng'o! Au siyo.

Kwa taarifa yenu hii ngoma safari hii ni tofauti sana: Sasa basi! Ukipenda "safari hii hatutaki ukhanithi!"

Mliyoyategemea imekuwa ndivyo sivyo.

Wizi huu mbona utawatokea puani!
 
Back
Top Bottom