Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ila jana kawachana sana Chadema wenzake 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yuko so mushy 🤣Umemsikiliza chairman jana? Tumeona matunda ya maridhiano [emoji1]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hata mimi nimeyaona, mikutano hoyee[emoji2][emoji2][emoji2]Umemsikiliza chairman jana? Tumeona matunda ya maridhiano [emoji1]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ungejua hata sio mchaga[emoji2][emoji2][emoji2]Jamaa yuko so mushy [emoji1787]
Kalegea yani 🤣Ungejua hata sio mchaga[emoji2][emoji2][emoji2]
Nyie ni hisia tu kwa kwenda mbele...
Ndugu wa "MAREHEMU" hawaamini kinachotokea.... haya mie naapita...Huyo jamaa kwenye hicho chama akimsikiliza mtu ni ameamua yeye 😀
Hawa watu wanatuchukuliaje lakini? Kwamba hatuna akili?Swali zuri sana mkuu.
Kwa kifupi aliyemweka ndani ndio huyo huyo aliyemtoa na ndiye huyo huyo aliyefanya nae maridhiano ya kufanyika mikutano.
Na walichojadiliana hadi kupatikana kurudi kwa mikutano imebaki siri yao, je tuendelee kumuamini Mwenyekiti wetu?
Na nahisi kapangiwa cha kuongea pia.
KATIBA mpya ni hoja mujaarabu!!Udhaifu upi? Binafsi naona Wana ccm awamu hii Wana vingi vya kujivunia kuliko miaka iliyopita.
Kwa mfano mkutano wa Leo zaidi ya kusema Rais kakopa,maisha magumu kwani Kuna jipya?