Mwenyekiti Mbowe, kweli Rais Samia amefanya mazuri ila sifa kwake zimezidi!

Hawa watu wanatuchukuliaje lakini? Kwamba hatuna akili?

Ndo hayo ya kutumwa nenda unioshe huko unisuguwe na still wire nitakate, wale watu bado wana machungu, nenda unioshe nitakate njia iwe nyeupe huko mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…