Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa anapanga kwenda kumtembelea mwenyekiti wa zamani

Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa anapanga kwenda kumtembelea mwenyekiti wa zamani

Kutukana na kudhalilisha mtu sio mtizamo aisee

Lisu alikuwa akitukana na kumdhalilisha Mbowe.Hawakutofautiana kimtizimo.bali kimatusi na kudhalilishana .Lisu akiwa kinara wa kumtukana na kumdhalilisha Mbowe

Tofauti ya mitizamo mbona huwa ruksa tu .Lakini Lisu alichofanya sicho kabisa

Kuweka record sawa
Ngoja Tusubiri tuone Mbowe mwenyewe atasemaje kuhusu kila kitu kilichotokea !
Sisi tusimlishe maneno !!
 
Back
Top Bottom