Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Naunga mkono hoja , sikuona uzi wa mwanzoMods unganisha uzi huu na ule wakwanza
TayariTaarifa ni fupi sana. Jazia nyama
Aliwahi kua Rais wa Dar Young AfricaEh ndio nani
Alikuwa Kiongozi Wa Yanga Pia Ni Wakili Wa Serikali, Alijaribu Kugombea Ubunge Chalinze Lakini Kura HazikutoshaEh ndio nani
Hapana Mkuu, Amri Ya MunguKauwawa???