TANZIA Mwenyekiti Mstaafu wa Yanga, Imani Madega afariki Dunia

TANZIA Mwenyekiti Mstaafu wa Yanga, Imani Madega afariki Dunia

R.I.P Madega

Katika watu walioipenda yanga kuanzia utoto hadi kuja kuwa kiongozi..tena Yanga lia lia..nakumbuka kabla ya kuwa kiongozi ulikuwa shabiki hasa jukwaani ukivua shati na kuchezesha tumbo enzi uko chuo..Mungu akuweke mahali pema panapostahili kaka yangu Adv Iman Madega
 
Huyu ndie Mwenyekiti wa Klabu ya Uto ambae alikua Mwanasheria aliewapa mdomo Makolo kwa zile 5-0 walizokuwa wanatamba nazo.
Kulikua na mgogoro mkubwa wa kiuongozi pale klabuni Jangwani.
Jamaa akalazimishwa aachie ngazi ya Uongozi akagoma, wakajatibu kufanya mapinduzi ikashindikana.
Wazee wa YANGA waka mwambia subiri,utatoka tuu.
Kulikua kunakaribia mechi ya Ligi derby ya KARIAKOO.Baada ya mechi hazikupita siku 2 aliachia ngazi.
Dah mbona Mangu×2 imeshindikana
R.i.p madega
 
Huyu ndie Mwenyekiti wa Klabu ya Uto ambae alikua Mwanasheria aliewapa mdomo Makolo kwa zile 5-0 walizokuwa wanatamba nazo.
Kulikua na mgogoro mkubwa wa kiuongozi pale klabuni Jangwani.
Jamaa akalazimishwa aachie ngazi ya Uongozi akagoma, wakajatibu kufanya mapinduzi ikashindikana.
Wazee wa YANGA waka mwambia subiri,utatoka tuu.
Kulikua kunakaribia mechi ya Ligi derby ya KARIAKOO.Baada ya mechi hazikupita siku 2 aliachia ngazi.
Hahahahahaha..yule alikua Lyod Nchunga...aliyemtoa Madega...enzi ya Madega hakufungwa 5 na simba

Yanga ya Lyod Nchunga na makamu wake David Mosha ndio walipigwa 5..baada ya hapo mwenyekiti akachukua Manji
 
Huyu ndie Mwenyekiti wa Klabu ya Uto ambae alikua Mwanasheria aliewapa mdomo Makolo kwa zile 5-0 walizokuwa wanatamba nazo.
Kulikua na mgogoro mkubwa wa kiuongozi pale klabuni Jangwani.
Jamaa akalazimishwa aachie ngazi ya Uongozi akagoma, wakajatibu kufanya mapinduzi ikashindikana.
Wazee wa YANGA waka mwambia subiri,utatoka tuu.
Kulikua kunakaribia mechi ya Ligi derby ya KARIAKOO.Baada ya mechi hazikupita siku 2 aliachia ngazi.
Siyo kweli weka kumbu kumbu vizuri Madega aligombana na Manji Makolo walishinda 5 uongozi wa Nchunga siyo Madega
 
Back
Top Bottom