Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Thanx mkuu...Hapana Mkuu, Amri Ya Mungu
Apumzike kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanx mkuu...Hapana Mkuu, Amri Ya Mungu
AmenThanx mkuu...
Apumzike kwa amani
Maelezo yanajitosheleza , kafariki na mazishi ni kwake chalinze kesho.Taarifa ni fupi sana. Jazia nyama
Hahahahaha..nadhani hii ratiba tukifika msibaniMaelezo yanajitosheleza , kafariki na mazishi ni kwake chalinze kesho.
Hapa chakula tu ndo hakijaongelewa.
Enzi yake hapakuwa na nafasi ya Rais wa Klabu!Aliwahi kua Rais wa Dar Young Africa
Hata hivyo, niliyemuuliza swali ameshalijibu.Maelezo yanajitosheleza , kafariki na mazishi ni kwake chalinze kesho.
Hapa chakula tu ndo hakijaongelewa.
Dah mbona Mangu×2 imeshindikanaHuyu ndie Mwenyekiti wa Klabu ya Uto ambae alikua Mwanasheria aliewapa mdomo Makolo kwa zile 5-0 walizokuwa wanatamba nazo.
Kulikua na mgogoro mkubwa wa kiuongozi pale klabuni Jangwani.
Jamaa akalazimishwa aachie ngazi ya Uongozi akagoma, wakajatibu kufanya mapinduzi ikashindikana.
Wazee wa YANGA waka mwambia subiri,utatoka tuu.
Kulikua kunakaribia mechi ya Ligi derby ya KARIAKOO.Baada ya mechi hazikupita siku 2 aliachia ngazi.
Hahahahahaha..yule alikua Lyod Nchunga...aliyemtoa Madega...enzi ya Madega hakufungwa 5 na simbaHuyu ndie Mwenyekiti wa Klabu ya Uto ambae alikua Mwanasheria aliewapa mdomo Makolo kwa zile 5-0 walizokuwa wanatamba nazo.
Kulikua na mgogoro mkubwa wa kiuongozi pale klabuni Jangwani.
Jamaa akalazimishwa aachie ngazi ya Uongozi akagoma, wakajatibu kufanya mapinduzi ikashindikana.
Wazee wa YANGA waka mwambia subiri,utatoka tuu.
Kulikua kunakaribia mechi ya Ligi derby ya KARIAKOO.Baada ya mechi hazikupita siku 2 aliachia ngazi.
Imani Madega aliwahi kuwa mwenyekiti wa club kubwa zaidi katika ukanda wa Afrika mashariki na kati Dar es Salaam Young Africans.Eh ndio nani
Upo very right, sio wale wa RIPInna Lillahi Wa Inna Ilayhi Rajioon
Si njia ya wote. Wapo ambao watakutwa wakiwa hai mwisho wa Dunia.Njia yetu sote. Hakuna haja ya ubabe wala ubaya hapa duniani tunapita tu.
Siyo kweli weka kumbu kumbu vizuri Madega aligombana na Manji Makolo walishinda 5 uongozi wa Nchunga siyo MadegaHuyu ndie Mwenyekiti wa Klabu ya Uto ambae alikua Mwanasheria aliewapa mdomo Makolo kwa zile 5-0 walizokuwa wanatamba nazo.
Kulikua na mgogoro mkubwa wa kiuongozi pale klabuni Jangwani.
Jamaa akalazimishwa aachie ngazi ya Uongozi akagoma, wakajatibu kufanya mapinduzi ikashindikana.
Wazee wa YANGA waka mwambia subiri,utatoka tuu.
Kulikua kunakaribia mechi ya Ligi derby ya KARIAKOO.Baada ya mechi hazikupita siku 2 aliachia ngazi.