Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kumbe kumbukumbu zipo....Siyo kweli weka kumbu kumbu vizuri Madega aligombana na Manji Makolo walishinda 5 uongozi wa Nchunga siyo Madega
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kumbukumbu zipo....Siyo kweli weka kumbu kumbu vizuri Madega aligombana na Manji Makolo walishinda 5 uongozi wa Nchunga siyo Madega
Kumbe kumbukumbu za mkono mnazo..Huyu ndie Mwenyekiti wa Klabu ya Uto ambae alikua Mwanasheria aliewapa mdomo Makolo kwa zile 5-0 walizokuwa wanatamba nazo.
Kulikua na mgogoro mkubwa wa kiuongozi pale klabuni Jangwani.
Jamaa akalazimishwa aachie ngazi ya Uongozi akagoma, wakajatibu kufanya mapinduzi ikashindikana.
Wazee wa YANGA waka mwambia subiri,utatoka tuu.
Kulikua kunakaribia mechi ya Ligi derby ya KARIAKOO.Baada ya mechi hazikupita siku 2 aliachia ngazi.
Watu wana mpaka ratiba yako ya hedhi sembuse hiliKumbe kumbukumbu za mkono mnazo..
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Yanga SC, Imani Madega amefariki dunia leo nyumbani kwake Chalinze, Mkoa wa Pwani.
Madega anatarajiwa kuzikwa kesho Chalinze nyumbani kwake. Kiongozi huyo atakumbukwa na Wanachama wa Yanga SC kama moja ya viongozi majabali na kuacha kiasi cha Sh. Mil 200 katika akaunti za klabu hiyo.
View attachment 2899633
Yaumul QiyamahSi njia ya wote. Wapo ambao watakutwa wakiwa hai mwisho wa Dunia.
Amani ya kutoka wapi! Hivi mnadhani kule ukifika unakunja 4 unakula bata sio! Wewe na matendo yako ndio yatakayokusaidia, mbali na hapo ni jahannam.Apumzike kwa Amani.
Acha uongo we nguchiro,mwwnyeki alikuwa ChungaHuyu ndie Mwenyekiti wa Klabu ya Uto ambae alikua Mwanasheria aliewapa mdomo Makolo kwa zile 5-0 walizokuwa wanatamba nazo.
Kulikua na mgogoro mkubwa wa kiuongozi pale klabuni Jangwani.
Jamaa akalazimishwa aachie ngazi ya Uongozi akagoma, wakajatibu kufanya mapinduzi ikashindikana.
Wazee wa YANGA waka mwambia subiri,utatoka tuu.
Kulikua kunakaribia mechi ya Ligi derby ya KARIAKOO.Baada ya mechi hazikupita siku 2 aliachia ngazi.
Nimechanganya mafaili.Hahahahahaha..yule alikua Lyod Nchunga...aliyemtoa Madega...enzi ya Madega hakufungwa 5 na simba
Yanga ya Lyod Nchunga na makamu wake David Mosha ndio walipigwa 5..baada ya hapo mwenyekiti akachukua Manji
Nguchiro ni yule mwanamke anaemiliki shimo ulilopitia kuja duniani.Acha uongo we nguchiro,mwwnyeki alikuwa Chunga
Ww ni ahmakuNguchiro ni yule mwanamke anaemiliki shimo ulilopitia kuja duniani.
Utabak kuwa bwege tu hapa duniani,kama umeshindwa kujua jambo dogo kama hiliNguchiro ni yule mwanamke anaemiliki shimo ulilopitia kuja duniani.
Hahahahaha tuko pamoja..ni katika kuweka sawa tuNimechanganya mafaili.
Sorry kwa kupotosha.
Wakili wa kujitegemeaAlikuwa Kiongozi Wa Yanga Pia Ni Wakili Wa Serikali, Alijaribu Kugombea Ubunge Chalinze Lakini Kura Hazikutosha
Ulipatembelea lini??safari ijayo nishtue nami nikayashuhudie hayoAmani ya kutoka wapi! Hivi mnadhani kule ukifika unakunja 4 unakula bata sio! Wewe na matendo yako ndio yatakayokusaidia, mbali na hapo ni jahannam.