TANZIA Mwenyekiti Mstaafu wa Yanga, Imani Madega afariki Dunia

Kumbe kumbukumbu za mkono mnazo..
 

Apumzike kwa amani Imani Madega
 
Acha uongo we nguchiro,mwwnyeki alikuwa Chunga
 
Amani ya kutoka wapi! Hivi mnadhani kule ukifika unakunja 4 unakula bata sio! Wewe na matendo yako ndio yatakayokusaidia, mbali na hapo ni jahannam.
Ulipatembelea lini??safari ijayo nishtue nami nikayashuhudie hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…