Maskini kamfuata mke wake!
Anakufa Mengi linabaki jiwe walilolikataa waashi..na limekuwa jiwe kuu la pembeniWhy??
Na wewe unataka uoneWapi umeona mzee???
Ndo hapo mkuu na mm nashangaa, hata gazet la nipashe la leo halijaandika hiyo habar
Mtu makini hufanya kazi na watu makini, usisahau hilo maishani mwako.Rest in peace mzee Mengi!
Zile projects zake za kujenga viwanda vya magari na simu bila shaka zimeishia hapa maana sioni wa kuziendeleza