Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufa kufa tukama mtu mkubwa tajiri,mwenye kampuni kubwaa na magaari ya kifahari katutoka,vipi mimi mweenye kibodaboda changu na akiba ya 50K Kwenye akaunti ntabaki milele kweli?
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَعِبْرَةً لِّمَن يَخْشَىٰ
[ ANNAZIA'AT - 26 ]
Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanao ogopa.
Both are too shortMkuu long life ndio IPI na Short ndio ipi? Maana jamaa amezaliwa 1944, sasa kama kama kuna vijana kama akina Ruge ni 70's wamevuta, hapo short ni ipi na long ni ipi?
Why??This world is not fair