TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

Njia yetu ni moja tulitoka mavumbini na tutarudi mavumbini.

RIP
 
I am deeply saddened by his death. May God of Israel mame his family strong at the moment. May his sour rest in eternal peace.
 
Marehemu Reginald Mengi alikuwa mjasiriamali mzalendo.

Mchango wake kwa maendeleo ya viwanda, tasnia ya habari, elimu Na ustawi wa jamii hautsahaulika katika historia ya Taifa letu. Hakika Taifa limpoteza Hazina kubwa Sana ya ubunifu Na utekelezaji.

Mwenyezi Mungu amsamehe mapungufu yake, amrehemu Na kumjalia pumziko la Amani katika ufalme wake mbinguni
 
RIP Mzee Mengi, utakumbukwa kwa kazi zako za biashara!! na lile saga lako na Manji au Muhongo
 
Daah, kweli kila nafsi itaonja umauti. Ingekuw Mungu anapokea rushwa, kwa mali na utajir wa mzee Mengi, basi asingetutoka.
Bwana alitoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe
kama mtu mkubwa tajiri,mwenye kampuni kubwaa na magaari ya kifahari katutoka,vipi mimi mweenye kibodaboda changu na akiba ya 50K Kwenye akaunti ntabaki milele kweli?

إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَعِبْرَةً لِّمَن يَخْشَىٰ

[ ANNAZIA'AT - 26 ]
Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanao ogopa.
 
Bwana alitoa, bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. Amen
 
2019-1944=75

Mungu akulaze mahala pema peponi. Poleni wote mlioguswa na msiba huu hasa mjane, watoto na ndugu.
 
Back
Top Bottom