TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

Radio One na ITV wametangaza kwa kifupi sana, hawajataja yote hayo uliyoulizia

Amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo huko Dubai..basi
Ndiyo hayo nayosema mimi habari gani ambayo aina leading statement ata kwa kifupi, unasema tu mtu kafa, how? wangeweka tu ata sababu kwa kifupi maelezo zaidi baadae.

Surely ata wao itakuwa waliuliza kama ni stroke atutaki kujua zaidi ilimkutia wapi au alikuwa katika mazingira gani just brief,anyway R.I.P mzee mengi.
 
Huyu mzee aliniudhi wakati wa campaign za 2000 alivyokuwa akirusha vipindi kuonyesha mauaji ya Rwanda eti tukichagua vyama vingi tutakuwa kama Rwanda. Nadhani alifanya hivyo ili aendelee bila kufuatiliwa na watawala.
Marehemu hana hatia.
 
POLENI SANA WOTE MNAOHUSIKA NA MSIBA HUU! MWENYEZI MUNGU AIPOKEE ROHO YAKE KWA HURUMA KAMA ALIVYOKUWA ANAWAHURUMIA NA KUWASAIDIA WAJA WAKE.
 
Mungu atusaidie, alikuwa amempokea Yesu na ameokoka, Yesu ni mwokozi, na matajiri wengine igeni mfano wa Mengi kuokoka, hata Klyn naye anampenda Yesu
According to Imani yako,which is not necessarily true. To me yesu was just a man who lived in Judea circa 2000 years ago. He nothing more than a troublesome preacher, who was caught by the authorities and was sumnaryily executed.
Mungu atusaidie, alikuwa amempokea Yesu na ameokoka, Yesu ni mwokozi, na matajiri wengine igeni mfano wa Mengi kuokoka, hata Klyn naye anampenda Yesu
A brainwashed religious apologetic
 
Back
Top Bottom