TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

Poleni sana wana familia,pole sana Jack na watoto,mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
 
REST IN PEACE DR.

but katika historia mbona kuna sehemu mmeruka inamaana hajawah kufanya kazi BOT au kuna mengine hayatakiwi
 
Pumzika kwa amani Dr REGNALD ABRAHAM MENGI. Pole kwa famiia
 
Duniani wote tu wapitaji, RIP Reginald Mengi!
 
"Attention na sida"
Ndio matatizo ya kuzoea kuandika habari za udaku

Mzee Mengi kafa R.I.P

Lakini cause ni nini? Hakuna kitu kinachokera kwenye habari kama pale unapoachwa ujazie mwenyewe.

Was it stroke
Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa muda mrefu
Or what exactly is the cause
 
Mwenyekiti wa makampuni ya IPP na moja ya watu matajiri na mashuhuri nchini Tanzania Reginald Mengi amefariki dunia.
Taarifa hiyo imethibitishwa leo alfajiri na vyombo vya habari vilivyo chini ya umiliki wake, runinga ya ITV, na stesheni ya Radio ONE.
Mzee Mengi alizaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro na umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu.
 
Back
Top Bottom