TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

Lala salama mzee Mengi. Wewe ni Kati ya wachache ndani ya nchi hii na dunia kwa ujumla uliyetufunza kwamba kila mwanadamu anaweza kufanya Jambo la maana kama akijitambua na kuchukua uamuzi. Nmesikikitika sana, ni juzi ulikuwa na mkuu wetu wa mkoa wa Dar, sasa sijui kwa nn haya yametokea.
 
Jamani Klyn ni mjane
Well kwa umri wa Marehemu Dr Mengi ni dhahiri alikuwa ameshajiandaa psychological kuhusu hili japo hakutegemea iwe rahisi kiasi hiki.

Yote kwa yote ni kumshukuru Mungu.
 
Bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe


Mwisho mwishon mwa uhai wake mzee aliweweseka sana, alidilik na kusema " bila jacklyne angekufa kitambo sana

Pumzika unapostahili
 
Umepigana vita vilivyo vizuri, mwendo umeumaliza, Imani umeilinda..

Ulijaribu kadri ya uwezo wako, kuyafanya maisha ya wajane, walemavu na masikini kuwa bora..

Umeacha a positive legacy..

Ninamuomba Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yako mahala pema peponi[emoji1374][emoji1374][emoji1374]
 
Alikua anaumwa nini?
Bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe


Mwisho mwishon mwa uhai wake mzee aliweweseka sana, alidilik na kusema " bila jacklyne angekufa kitambo sana

Pumzika unapostahili
 
Daah mzee kavuta maskini Jacqueline kashakua mjane mapemaa
Pumzika kwa amani tunu ya taifa mzee Reginald Mengi
 
Yule anayeandikia waraka kwa marehemu , tunamsuburia amwandikie na huyu
 
Wapumbavu ni watu wanaoishi kwa kuamini hadithi za wayahudi za karne zaidi ya 20 zilizopita.
Wapumbavu hao waliletewa hadithi hizo karne 2 tu zilizopita na waliowaletea waliwafunga minyororo na kuwatumikisha kitumwa, kuwakata viungo, hadi kuwatupa baharini.
Halafu wapumbavu hawa wanakua na hasira sana ukiwaambia huamini wanachokiamini, japokuwa hasira zimekatazwa kwenye vitabu wanavyoviamini...Funny
Tuambie wewe sasa ambaye ujafungwa minyororo kwa nini wewe ufe? Kwanini usiishi milele? Au hata miaka elfu moja tu.
 
RIP MANGI.
IT IS EXACTLY SIX MONTHS SINCE YOUR WIFE PASSED AWAY IN S. AFRICAN
 
Mzee Wa"Vijana mnakwapa wapi" hatunaye tena,Mimi kama mwakilishi Wa Vijana nasema umetuachia funzo kubwa sana na tutayaenzi daima.
 
Mzee Mengi umejitoa kwa mengi kuwasaidia wahitaji wengi katika shida zao. Mwenyezi Mungu mwenye huruma akupumzishe katika makao ya amani na raha milele yote. Amina.
 
Back
Top Bottom