Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hii tunaisoma Enzi za mitume na manabii wa Mungu tuu. Kwa sasa zamani ilishapita na Mungu alisema ni 70 tuu mingine ujue ni bonus.Zamani watu walikuwa wanaishi miaka mia 900
Shuka kidogo hapo mkuu,umeniachaCongo dust ni mbaya aisee
Mambo ya ndoa yametokea wapi hapaRest In Peace mzee, kweli ndoa iliyofungwa na Mungu binadamu hawezi kuivunja. Umemfuata mke wako.
Ndio matatizo ya kuzoea kuandika habari za udaku
Mzee Mengi kafa R.I.P
Lakini cause ni nini? Hakuna kitu kinachokera kwenye habari kama pale unapoachwa ujazie mwenyewe.
Was it stroke
Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa muda mrefu
Or what exactly is the cause