Well kwa umri wa Marehemu Dr Mengi ni dhahiri alikuwa ameshajiandaa psychological kuhusu hili japo hakutegemea iwe rahisi kiasi hiki.Jamani Klyn ni mjane
Ndio tabia ya kifo,hakitabiriki,anayefuata huwezi kudhania,Mungu na aippkee roho ya marehemu Mengi(r.I.p)Mzee Mengi nini tena jamani! R.I.P
Bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe
Mwisho mwishon mwa uhai wake mzee aliweweseka sana, alidilik na kusema " bila jacklyne angekufa kitambo sana
Pumzika unapostahili
Tuambie wewe sasa ambaye ujafungwa minyororo kwa nini wewe ufe? Kwanini usiishi milele? Au hata miaka elfu moja tu.Wapumbavu ni watu wanaoishi kwa kuamini hadithi za wayahudi za karne zaidi ya 20 zilizopita.
Wapumbavu hao waliletewa hadithi hizo karne 2 tu zilizopita na waliowaletea waliwafunga minyororo na kuwatumikisha kitumwa, kuwakata viungo, hadi kuwatupa baharini.
Halafu wapumbavu hawa wanakua na hasira sana ukiwaambia huamini wanachokiamini, japokuwa hasira zimekatazwa kwenye vitabu wanavyoviamini...Funny
Usimuombee mwenzio kifo hata kama humpendiAnakufa Mengi linabaki jiwe walilolikataa waashi..na limekuwa jiwe kuu la pembeni
utakufa wewe utamuacha huyo bashite anadunda tukwanini angesipo kufa bashite? roho inaniuma sana kuona wanakufa watu wa muhimu. halafu watu wajinga wajinga wanabaki.