Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nifanye mawasiliano na "MWESYA' wa Ukerewe nitarudi kwako muda si mrefu!Eda ni mda gani
Wee kweli mkuu?[emoji848]Maradhi ya umri mkubwa mkuu, hiyo tarehe yake ya kuzaliwa rudisha nyuma mara nane,kumbuka zamani walikuwa wanarudisha miaka nyuma kupata scholarship.
Kuota vipi yaani maana Yake!! Kwamba dr. Mengi hawezi kufa ama!?Unaota au??
Mweeh! mkuu shetani ni wewe mwenyewe asee usinijumuishe na mimiWatu wema wanaondoka,tumebaki "sisi" mashetani!May the soul of our beloved Reginald Abraham Mengi rest in peace!
Ni baba mkwe wako mkuu?safari njema mzee Mengi, baba mkwe..
ukawekwe mahali unapostahili milele.
Mungu akawape faraja ndugu jamaa na marafiki.
SIO FAMILIA HII Aisee!Wanafamilia watakaoachiwa hayo makampuni wawe makini kama marehemu wakati wa uhai wake ili watanzania tuendelee kupata huduma bora kama maji ya kunywa ya kilimanjaro.
Tatizo la family business ni uhakika wake baada ya head of the family kuondoa jumla.
Kwani uko mtandao gani!Dah mbona taarifa zake hazisambai kama ilivyokuwa kwa kina Sitta, Ruge, Kanumba na wengine....
BTW Rest in Peace Mzee R. Mengi
Ilikuwa asubuhi sana nilipost, naona saivi zishasambaaKwani uko mtandao gani!