Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtusi wa Rwanda huyo. Sema watusi Rwanda enzi ya rais mhutu walikimbia hasa wasomi. Mmojawao ni Prof Ntuyabaliwe baba yake Jack.
Kweli muda umekuwa mchache sana toka mke wake afarikiKama anefariki 1st May au hata kama ni early 2nd May ni exactly 6 months toka mkewe Mercy Anna Mengi afarini. Hili ni fumbo na funzo kwa watu wote duniani uwe tafiri au maskini. Angelijua hili kuwa baada ya miezi 6 naye angemfuata basi angefanya vyema zaidi kipindi cha kifo na mazishi ya mke wake na mwanzilishi na mmiliki mwenza wa makapuni yote yaliyotajwa (mengi yake) hapo juu.
Mimi sisemi R.I.P kwa sababu msimamo wangu kwa huyu tajiri ulibadilika mno baada ya kifo cha mke wake wa kwanza Mercy Anna Mengi na ile heshima isiyostahili aliyompa.
Halafu watu Bwana. Kwenye zile nyuzi mbili zilizokuwa zina trend hapa kuhusu huyu marehemu na current wife basi kuna waliosema mengi sana kuhusu Gold Digging counting the days.😡😡
Aseee[emoji848]Atakula hela ndefu sana huyu mjane, haya ndio matumizi sahihi ya K...
Mengi was in Dubai for Vacation. It seems mengi had a heart attack. Two days he fell down while he and the family were touring,was taken to the hospital,kept in for a day or so and released. Last night they had a meal and thereafter around 6pm he had severe chat pains.They took him to the hospital but did not make it. Regina and her brother are also in Dubai.Alikuwa anaumwa nini? Mbona taarifa za Ugonjwa wake sijasikia ? Yani unatafuta pesa kwa nguvu ukifa kuna maboya wanazitumia bila huruma. Ametuachia mjane kijana
Yes brethren."The rich folks don't die in our hospitals"