mirna92
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 502
- 1,001
Ndo hivyo kufa ni lazima na wote tutakwenda hata angeripoti kwa ugumu. Kilichobaki tujiandae na umauti,Mkuu mbona umeripoti kirahisi hivyo taarifa ngumu namna hii?
Pole kwa familia yake, ndugu, jamaa, na marafiki zake, mungu amuweke alipo pachagua aamin[emoji120]