johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Yule anayetetea kiti chake ameshafaulu!hakuna kikwazo kwa wote wawili...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule anayetetea kiti chake ameshafaulu!hakuna kikwazo kwa wote wawili...
Mbona mnawasiwasi??Jaji hatma ya Tanzania ipo mikononi mwako...timiza wajibu wako kwa HAKI taifa litakuinua..
Vinginevyo....!! sisi hatutakiwepo huko utakapokuwa unakwenda!!
Lisu ni mwepesi kuliko Membe!Una uhakika wewe huombi dua nec wamuengue lissu kimizengwe?
Uchaguzi wa serikali za mitaa, vitongoji na vijiji wa mwaka 2019 ulikuwa na mikakati ya kishetani yenye viashiria vyote kama hivi. Hivi kweli tume inataka kwa makusudi kabisa kuliingiza taifa letu ktk mtanziko wa kisiasa usiokuwa na tija namna hii!Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Jaji Kaijage amesema uteuzi wa wagombea Urais wa JMT utafanyika tarehe 25/08/2020.
Jaji Kaijage amesisitiza kuwa ni wagombea wenye sifa ndio watakaoteuliwa kuwakilisha vyama vyao kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.
Chanzo: ITV habari!
Msimanishe busaraza kuoneana huruma "only qualified candidates"Busara itumike tu kwenye jambo hili.
Halafu watu wamemsahau Membe wanamuwaza lisu tu😆😆😆Lisu ni mwepesi kuliko Membe!
Kama mgombea wenu Ana sifa wasiwasi wa nini? 🤣Kama mtu hana sifa kwanini wakampa fomu?
Kwani inawezekana chizi siku moja akaenda kuchukua fomu ya Urais wakampa?
Huyo jaji aache kuchezea akili za watu, tumeshajua mgombea wetu ni nani na kura zetu anazo, yeye na hayo matamko yake ya ajabu ajabu anajifurahisha tu.
Nduli wetu anatokea chattleKwahiyo unamfananisha Tundu Lisu na nduli Idd Amin Dada!!
Basi nec na ccm waache mizengwe kwa Lissu ya kutaka kumuengua ili adhibitishe kuwa ni mwepesi au mzito kwenye sanduku la kura kihalali.Lisu ni mwepesi kuliko Membe!
Halafu anagombea wakati yeye mwenyewe hayumo kwenye daftari la wapiga kura.Na hili la wagombea wenye sifa walisisitize sana maana wagombea wengine hawana ADABU kabisa.Mmoja wao ni yule anayesisitiza wananchi waingie barabarani kama atashindwa.Huyu sifa hana.
NEC inafuata sheria na taratibu zake haifanyi kazi kwa huruma.Basi nec na ccm waache mizengwe kwa Lissu ya kutaka kumuengua ili adhibitishe kuwa ni mwepesi au mzito kwenye sanduku la kura kihalali.
Unaongea na mimi au unaongea na simu?NEC inafuata sheria na taratibu zake haifanyi kazi kwa huruma.
And what means “only qualified candidates”Msimanishe busaraza kuoneana huruma "only qualified candidates"
Yap picha ndo inaanza sasaMwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Jaji Kaijage amesema uteuzi wa wagombea Urais wa JMT utafanyika tarehe 25/08/2020.
Jaji Kaijage amesisitiza kuwa ni wagombea wenye sifa ndio watakaoteuliwa kuwakilisha vyama vyao kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.
Chanzo: ITV habari!
Lisu hatasumbuliwa bali atashangazwa kwenye sanduku la kura October!Basi nec na ccm waache mizengwe kwa Lissu ya kutaka kumuengua ili adhibitishe kuwa ni mwepesi au mzito kwenye sanduku la kura kihalali.
Watu bado wanakumbuka yaliyotokea Serikali za MitaaWasiwasi wa nini?