Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Jaji Kaijage amesema uteuzi wa wagombea Urais wa JMT utafanyika tarehe 25/08/2020.
Jaji Kaijage amesisitiza kuwa ni wagombea wenye sifa ndio watakaoteuliwa kuwakilisha vyama vyao kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.
Chanzo: ITV habari!
Nyumbu wa Lumumba mnahamu Lissu afanyiwe Figisu hapa, Amini amini nawaambieni Jiwe ndio hana sifa, NEC watamchinjilia Mbali