Mwenyekiti Taifa na CCM yako hongera kwa Kuachana na ‘afadhali’ Shaka na Kutua kwa ‘Potelea mbali kabisa’ Sofia

Mwenyekiti Taifa na CCM yako hongera kwa Kuachana na ‘afadhali’ Shaka na Kutua kwa ‘Potelea mbali kabisa’ Sofia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Endeleeni tu Kudhani kila mahala Mwanamke anafaa na kwamba Watanzania wa mwaka 2025 ili wapige / wampigie Mtu Kura wanataka kuona Lundo la Wanawake katika kila Sekta.

Bora kule Kwingine kwa Wapokea Mishahara kila tarehe 21 au 22 ya Mwezi na ile ya Chakula kila tarehe 30 au 31 ya Mwezi ulishtuka mapema na Kuwaondolea Mama Kodi kwani kwa za chini chini na walivyokuwa hawamkubali ( japo Kinafiki walikuonyesha Kumkubali ) na kilichokuwa Kinaandaliwa nina uhakika Mwenyewe angekuja Kukuomba umbadilishe hapo na kama ungekataa basi kuna Uwezekano angakugomea kwenda Kazini na kukutaka uende Mwenyewe.

Kuna tofauti Kubwa sana ya kuwa Msemaji wa Timu ya Kinondoni FC ( inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania ) aifanyayou Dada yangu Christina Mwagala na ile atakayoifanya Dada yangu Sofia Mjema ya Kisiasa tena katika Chama Tawala cha CCM ambacho kwa sasa kina Maswali mengi ya Changamoto lukuki ( nyingi ) za Hoja ambazo kwa nimjuavyo Mwenezi wa CCM Taifa Mteule ( Mwanamama ) hana Ubavu ( Uwezo ) wa Kuzipangua Kifikra na Kiumakini pale zikitolewa na Watu ( Wanasiasa ) waliobarikiwa Akili ( IQ ) Kubwa na za Kutukuka kuliko alizonazo.

Kwakuwa tunapenda Kuteua Wanawake Wanawake kwa sasa nashauri hata TISS, JWTZ na PT tuteue Wanawake kwani watatusaidia kutupa Kura nyingi sana tutakapogombea kwa Tiketi yetu na si hii ya Hayati pale Oktoba mwaka 2025.
 
Putin alikuwa mtu sahihi. Huyu Sophia ataziweza hekaheka za toto Tundu na Lema? Sidhani!
IMG-20230115-WA0082.jpg
 
Wanaume tutakubali? Tuwaulize wavaa kubazi!
Naona kila idara nyeti ikienda kushikwa na UWT chamani na serikalini na Hilo ndilo anguko kuu.
GENTAMYCIME umeona mbali sana! Uwezo wa Sophy bado mwishowe atahamaki wakati wa maswali magumu ya tran na trat! Na hapo Kuna watu wataopt plan A ya Jiwe! Funngia mana wanakosoa bila staha!
Siasa Ina staha ni Ibada? Kama ni mwizi acha uitwe mwizi kama ni mazembe acha uitwe mzembe kama ni fisadi vile vile, kama ni mdini na mkabila vile vile kama ni mbaguzi vile vile! Kama hujitambui Hivyo Hivyo kama Sio mqajibikaji vivuo Hiyo! Haya yote wataiya matusi! Na kusahau Hayati Ben aliwaita chadema malofa na wao wakashangilia na kukenua meno! Huku Hayati JKN aliwaita wanasiasa Wa Namna flani "malaya malaya wanaofanya mambo ya kipumbavu" wakakenua! JPM aliwafananisha washindani wake na magunzi ukiyaweka kwenye torch na battery hayawaki!
Kuna watu watapewa kesi za kudhalilisha mwanamke just wait and see!
 
Tumezindua chawa rasmi nafikiri chawa watasaidia bidada sophy
Uliona idadi Yao lakini pale Karimjee? Mwitikio ulikuaje? Wenyewe wanajistukia, kuitwa chawa hata watoto WAKO watakudharau hkayanani Bora mkereketwa au kindakindaki! Khaaa
 
Chawa......chawa......yaan hakyanani mambo yanayoendelea utafikiri watu wamekatwa vichwa akili hazimo kabisa
Upepo Unavuma Vibaya Yaani Huyu Ataweza Kupambana Na Upande Wa Pili Wanyama Loliondo Heka Heka. Acha Tuone Atapigwa Hoja Nyepesi Ata Punic
Anaweza Kuulizwa Kwa Kijembe Umeolewa
 
Back
Top Bottom