Hivi huyu nyanya CHUNGU hiii sura yake wachina walikuja kukopi sura yake wakatengeneze mabasi ya mwendo kasi, maana sura lake Pana kama mabasi ya mwendo kasi aende mahakamani akawadai wachina fidia wamekopi sura yake wakati yeye hapati faida
Huyu ni mboga mboga kitambo sema Hana mvuto ndio maana teuzi zinamkwepa[QUOTELeo asubuhi nilikuwa namsikiliza huyu mbuzi pori akimtetea kunguni mwenzake kwamba yalikuwa maneno ya utani wa kisiasa View attachment 2968436
ππππ Alafu hata uvaaji nguo sijui alifundishwa na Babu yake uwenda Babu yake alikuwa anafanya kazi kwa wahindiHivi huyu nyanya CHUNGU hiii sura yake wachina walikuja kukopi sura yake wakatengeneze mabasi ya mwendo kasi, maana sura lake Pana kama mabasi ya mwendo kasi aende mahakamani akawadai wachina fidia wamekopi sura yake wakati yeye hapati faida
1. Aliyemwita mwenzie (Msigwa) ngedere, tena akiwa bungeni, alikuwa mpinzani?Nani alikuwa anawatusi wewe ropo ropo? Matusi ni utamaduni wa Wapinzani sio CCM
Wapinzani wanategemea matusi sio hoja1. Aliyemwita mwenzie (Msigwa) ngedere, tena akiwa bungeni, alikuwa mpinzani?
2. Aliyesema Ikulu si wodi ya wagonjwa, hivyo lowasa mgonjwa hawezi ingia ikulu, alikuwa mpinzani?
3. Aliyewaambia wananchi, wanye kinyasi wakifanye kuwa lami, alikuwa mpinzani?
4. ALiyewaambia wananchi, wapige mbizi kwenye kuvuka pale Kigamboni, alikuwa mpinzani?
Kwahiyo hapa wewe mwenyewe unaona umejibu maswali yangu ya post #115..!??Wapinzani wanategemea matusi sio hoja
View: https://twitter.com/ccm_tanzania/status/1781352535988556064?t=s71_Ggb0TzBUOyuZUWtZtA&s=19
Umesema ukweli kabisa mwamba!Huyu Mwenyekiti wa UVCCM Kagera unaweza kuta ni mtu mzima ana 45+ na anatokea nchi ya jirani(Rwanda) maana watanzania hatuna roho mbaya hivyo
CCM ni kificho cha majangiliUmesema ukweli kabisa mwamba!
Vinyago vya aina hii ndivyo vinavyo stahili kuanza kufanyiwa kazi hukohuko vilipo.Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.
Hopeless Kabisa.Suala hili la kupoteza watu wanaokosoa utawala uliopo hapa Tanzania siyo kitu kigeni au kitu kipya, lipo tangu enzi na enzi. Huyu Mwenyekiti alichoongea ni kitu sahihi na cha kweli, alichofanya ni kuwakumbusha tu watu ktk nchi hii. Asilaumie yeye huyo Mwenyekiti, bali wa kulaumiwa ni kile Chama chake kilichoasisi mambo haya ya kutekana, kutesana, kuwekeana sumu, kuuana, n. k.
RIP Mchungaji Christopher Mtikila
Na hadi leo yupo anadunda.. na watu wanazidi kupotezwa .Vinyago vya aina hii ndivyo vinavyo stahili kuanza kufanyiwa kazi hukohuko vilipo.
Kwa vile wao wanajifanya hakuna sheria zozote zinazo wabana, na hakuna chombo chochote cha sheria kinachoweza kuwagusa; basi ni halali ya wananchi wenye nia nzuri na taifa hili kuwafanyia kazi hawa na kuondoa uchafu wa aina hii miongoni mwao kabla hawajasababisha uharibifu mkubwa kwa nchi nzima.
Ni kuwalenga wao tu, basi.
Na hajawahi ufanyia kaziUshahidi ambao masauni anautaka
Kuna mtu aliniambia dirisha la udahili wa TISS ni UVCCM sasa nakutana na kauli hii nimeanza kuamini.