Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi angeshakuwa katumiwa Chopper ikamchukue na kumleta haraka Central Police Station kwa Mahojiano kadhaa.Angeongea hayo maneno mtu wa upinzani ingekua kizaa zaa
Sasa ni rasmi nakubaliana nawe 100%CCM ni Chama cha kigaidi.
Acha upuuzi wewe! Kutusi mtu yeyote awe kiongozi au vuvuzela as you are ni kosa kisheria na kinyume na utamaduni wetu.Viongozi wa UVCCM Kagera wametoa Onyo Kwa watu wote wanaomtusi Rais Samia Kwa kuwataka Polisi wasijihangaishe kuwatafuta watu ambao Wanaomtukana Rais Samia endapo watapotea.
Onyo Hilo limekuja huku pia Waziri wa mambo ya Ndani akionya watu waache matusi na wafanye siasa vinginevyo hatua Kali zitachukuliwa.
UVCCM wameapa kumlinda Rais na Mwenyekiti wao Kwa gharama zozote.
My Take
Naunga mkono hoja,matusi Kwa Viongozi sio siasa, wahusika washughulikiwe.
Nani alikuwa anawatusi wewe ropo ropo? Matusi ni utamaduni wa Wapinzani sio CCMAcha upuuzi wewe! Kutusi mtu yeyote awe kiongozi au vuvuzela as you are ni kosa kisheria na kinyume na utamaduni wetu.
Lakini hata wakati wanawatusi viongozi wa upinzani kama Mbowe, Maalim Seif, Mbatia nk hatujawahi kusikia tamko la wafuasi wao kuwa watawapoteza watu, iweje leo kiongozi anayefahamika anatishia uhai wa wengine kwa matusi hayohayo?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kama si hivyo inakuwaje mnapewa mafunzo na chombo cha dola.Hapana sisi si jeshi mkuu...
Huyo mwenzetu wa Kagera AMEPOTOKA PAKUBWA....
Kwahiyo Makonda amedanganya kuwa kuna viongozi wanahusika kumtukana mwenyekiti! Kuwa mkweli.Nani alikuwa anawatusi wewe ropo ropo? Matusi ni utamaduni wa Wapinzani sio CCM
Watawamaliza them wataanza kujipoteza wenyewe kwa wenyewe. Wana reason kama wapo UCHI...uchawa ni noma.Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha.
Onyo hilo limetolewa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhan wakati wa ziara yake wilayani Ngara alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge Aprili 16, Mwaka huu.
Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.
Pia soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
SOURCE WASAFI TV
Duuh..Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha.
SOURCE WASAFI TV
Pumbavu kabisa hilo jamaa!UVCCM mjitafakari. Hizi siasa za kupotezana sio maono ya mwenyekiti Mama Samia. Mama hana siasa za kipumbavu kama hizi.
TUKIWAPOTEZA WANAOMTUKANA RAIS SAMIA POLISI MSIWATAFUTE
Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha.
Onyo hilo limetolewa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhan wakati wa ziara yake wilayani Ngara alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge Aprili 16, Mwaka huu.
Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.
@sirallawi
#WasafiDigital
Ila wakati huo huo ninyi kila wakosoaji humu mnawaita ni chadema.Kauli ametoa mwanaCCM tena bila ya kutumwa na chama inakuwaje unakishambulia chama ilihali msemaji wake si huyo UVCCM....