Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Hivi huyu nyanya CHUNGU hiii sura yake wachina walikuja kukopi sura yake wakatengeneze mabasi ya mwendo kasi, maana sura lake Pana kama mabasi ya mwendo kasi aende mahakamani akawadai wachina fidia wamekopi sura yake wakati yeye hapati faida
Screenshot_20240419-181152.png
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hivi huyu nyanya CHUNGU hiii sura yake wachina walikuja kukopi sura yake wakatengeneze mabasi ya mwendo kasi, maana sura lake Pana kama mabasi ya mwendo kasi aende mahakamani akawadai wachina fidia wamekopi sura yake wakati yeye hapati faida
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Alafu hata uvaaji nguo sijui alifundishwa na Babu yake uwenda Babu yake alikuwa anafanya kazi kwa wahindi
 
Nani alikuwa anawatusi wewe ropo ropo? Matusi ni utamaduni wa Wapinzani sio CCM
1. Aliyemwita mwenzie (Msigwa) ngedere, tena akiwa bungeni, alikuwa mpinzani?
2. Aliyesema Ikulu si wodi ya wagonjwa, hivyo lowasa mgonjwa hawezi ingia ikulu, alikuwa mpinzani?
3. Aliyewaambia wananchi, wanye kinyasi wakifanye kuwa lami, alikuwa mpinzani?
4. ALiyewaambia wananchi, wapige mbizi kwenye kuvuka pale Kigamboni, alikuwa mpinzani?
 
1. Aliyemwita mwenzie (Msigwa) ngedere, tena akiwa bungeni, alikuwa mpinzani?
2. Aliyesema Ikulu si wodi ya wagonjwa, hivyo lowasa mgonjwa hawezi ingia ikulu, alikuwa mpinzani?
3. Aliyewaambia wananchi, wanye kinyasi wakifanye kuwa lami, alikuwa mpinzani?
4. ALiyewaambia wananchi, wapige mbizi kwenye kuvuka pale Kigamboni, alikuwa mpinzani?
Wapinzani wanategemea matusi sio hoja
View: https://twitter.com/ccm_tanzania/status/1781352535988556064?t=s71_Ggb0TzBUOyuZUWtZtA&s=19
 
Amesema kuwa kumekuwepo na tabia ya watu wanaotumia mitandao kumchafua Rais Samia pamoja na viongozi wengi huku wengine wakiwa ni miongoni mwa viongozi wa CCM ambapo amelitaka jeshi la polisi kutowatafuta watu hao pindi watakapopotezwa.
Vinyago vya aina hii ndivyo vinavyo stahili kuanza kufanyiwa kazi hukohuko vilipo.
Kwa vile wao wanajifanya hakuna sheria zozote zinazo wabana, na hakuna chombo chochote cha sheria kinachoweza kuwagusa; basi ni halali ya wananchi wenye nia nzuri na taifa hili kuwafanyia kazi hawa na kuondoa uchafu wa aina hii miongoni mwao kabla hawajasababisha uharibifu mkubwa kwa nchi nzima.
Ni kuwalenga wao tu, basi.
 
Mijitu hii iliyovimba kichwa haina akili gata kidogo..bichwa kubwa tu kama kambale
 
Suala hili la kupoteza watu wanaokosoa utawala uliopo hapa Tanzania siyo kitu kigeni au kitu kipya, lipo tangu enzi na enzi. Huyu Mwenyekiti alichoongea ni kitu sahihi na cha kweli, alichofanya ni kuwakumbusha tu watu ktk nchi hii. Asilaumie yeye huyo Mwenyekiti, bali wa kulaumiwa ni kile Chama chake kilichoasisi mambo haya ya kutekana, kutesana, kuwekeana sumu, kuuana, n. k.

RIP Mchungaji Christopher Mtikila
Hopeless Kabisa.
Mtu unakaa chini na kuanza kuandika upuuzi wa aina hii ili ujionyeshe ujinga ulio nao?
 
Vinyago vya aina hii ndivyo vinavyo stahili kuanza kufanyiwa kazi hukohuko vilipo.
Kwa vile wao wanajifanya hakuna sheria zozote zinazo wabana, na hakuna chombo chochote cha sheria kinachoweza kuwagusa; basi ni halali ya wananchi wenye nia nzuri na taifa hili kuwafanyia kazi hawa na kuondoa uchafu wa aina hii miongoni mwao kabla hawajasababisha uharibifu mkubwa kwa nchi nzima.
Ni kuwalenga wao tu, basi.
Na hadi leo yupo anadunda.. na watu wanazidi kupotezwa .
Ccm hawaipendi nchi hii
 
Back
Top Bottom