Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karma is a bitch muda utamfikia tu...cheo kinapita tu...atapotea baba yake .....ataelewaHuyu jamaa ni katili na muuaji haswa
Analindwa na mashetani wenzakeKarma is a bitch muda utamfikia tu...cheo kinapita tu...atapotea baba yake .....ataelewa
100%Huyu jamaa ni katili na muuaji haswa
Mwisho wa siku atakuwa DC sehemu, hiyo ndiyo adhabu akeAmekula ameshiba amevimbiwa sasa anatapika
Kajitu kenyewe kana kashfaWakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .
Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
CCM ni takataka asee100%
Muache ajifarague tu. Mtangulizi wake Heri James alitamba sana kwa maneno ya shombo lkn hivi sasa amepoa na anaogopa hata kujibu salaam.Kajitu kenyewe kana kashfa
anadhani ccm itakaa madarakani akiwa hai maisha yake..... Mungu hamfichi mnafiki, ya jiwe hakuyaona!Huyu jamaa ni katili na muuaji haswa
Mojawapo ya sifa ya wafuasi wa shetwaini ni kutoelewana wenyewe.Wakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .
Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
Bila kumtaja Jiwe mdomo wako utabaki unawasha na kunuka kama shimo la choo!!anadhani ccm itakaa madarakani akiwa hai maisha yake..... Mungu hamfichi mnafiki, ya jiwe hakuyaona!