Mwenyekiti UVCCM Taifa apingana na Amos Makalla kuhusu kutoa pole kwa CHADEMA kufuatia kifo cha Ali Kibao

Mwenyekiti UVCCM Taifa apingana na Amos Makalla kuhusu kutoa pole kwa CHADEMA kufuatia kifo cha Ali Kibao

Wakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .

Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-

"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"

Soma Pia:

Mtuletee na maoni yake baada ya mwenyekiti wake wa CCM TAIFA kutoa karipio!! Hawa kima wapumbavu sana.
 
Wakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .

Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-

"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"

Soma Pia:

Alitakiwa awe mshukiwa namba moja
 
Wakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .

Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-

"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"

Soma Pia:

**** la mama ake
 
Wakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .

Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-

"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"

Soma Pia:

Huyu kawaida asee ni mjinga sana huyu jamaa
 
Mimi ni mwanaCCM ila huyu mwenyekiti wa UVCCM kaandika upumbavu mtupu. Tatizo UVCCM ya sasa wengi wao hawana uwezo. Wengi ni watoto wa vigogo waliowekwa na baba zao.
Mwambie hyo mzanzibari na mwana CCM mwenzako **** la Mama ake limeharibika analiwa Kiboga Na Majini
 
Wakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .

Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-

"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"

Soma Pia:

Hawa maCCM ni mokund# sana. Nani anaweza kuzunguka na plate number zisizoeleweka mchana kweupe na kunyakua watu? Kesi ya Kombo anaijua? Anaweza kusingizia chadema
 
Samia ni dictator anaua watanganyika,kumbe AMEWEKA Momboko kuja kuuza watu
 
Namna yao yakutumia maneno unaweza kudhani watu wa maana: Eti inanipa ukakasi, Jinga kweli! Uhai wa mtu umeondolewa huyu kichwa kikubwa focus yake iko kwa mtoa taarifa.

Hata aibu hana aandike RIP. Kuna siku mabwana zenu wakiwa hawapo mtatoa chozi jicho moja.
 
Bila kumtaja Jiwe mdomo wako utabaki unawasha na kunuka kama shimo la choo!!
Jiwe yupo motoni anateseka kwa matukio kama haya haya
Wacha Mungu aingilie kati tena
 
Wakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .

Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-

"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"

Soma Pia:

Kwanza hata huyo aliye kuwa anatoa pole alikuwa anatoa pole kimachale chale kama anamagutu magutu. Hata kama angekuwa amejinyonga mwenyewe au ameuwawa na CDM kuwapa pole wafiwa ni uungwana hawa watoto wa sikuhizi hawana Maadili wala kujua mda sashihi wakuzungumza jambo fulani
 
Nimejifunza kiwa makini na kauli ya mchawi kuwahi kufika msibani.

Kuna namna wanajua who is behind of these issues

USSR
 
Back
Top Bottom