- Thread starter
- #61
Pascal Mayalla njoo huku unaitwa utoe neno kuhusu karmaHapa advocate wa karma #Pascal Mayala hasogei kuomba karma itokee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal Mayalla njoo huku unaitwa utoe neno kuhusu karmaHapa advocate wa karma #Pascal Mayala hasogei kuomba karma itokee
Rudia kusoma nilichoandika!?Chadema wana silaha sare za jeshi na land Rover za polisi,??
Karibu The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!Hapa advocate wa karma #Pascal Mayala hasogei kuomba karma itokee
CCM inaongoza vichaa hakika. Wanaweza kusema lolote popote kwa yeyote bila kujali athari za ubwatukaji waoWakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .
Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
Naunga mkono hoja The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!Karma is a bitch muda utamfikia tu...cheo kinapita tu...atapotea baba yake .....ataelewa
Kasoro Lucas Mwashambwa USSR chiembeMimi ni mwanaCCM ila huyu mwenyekiti wa UVCCM kaandika upumbavu mtupu. Tatizo UVCCM ya sasa wengi wao hawana uwezo. Wengi ni watoto wa vigogo waliowekwa na baba zao.
Sasa roho zao zimefurahi nafsi zao zimeridhika kukuona ukiwa mwili mtupu usio na pumzi,Hujawahi kuwatendea baya lolote,kosa lako ni kuwa mwanachama wa CHADEMA.Wakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .
Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
Sasa roho zao zimefurahi nafsi zao zimeridhika kukuona ukiwa mwili mtupu usio na pumzi,Hujawahi kuwatendea baya lolote,kosa lako ni kuwa mwanachama wa CHADEMA.Wakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .
Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
Bora angetapika huyo anajamba. Kiburi cha uzima hicho. Kina mwisho.Amekula ameshiba amevimbiwa sasa anatapika
😂😂😂 kumekuchaJamaa Shoga na ata wana UVCCM wenzake wanafahamu
Kuna siku tutaweka clip zake ili akili yake ikae sawa
Huwezi acha kumtenganisha Magufuli na hayaBila kumtaja Jiwe mdomo wako utabaki unawasha na kunuka kama shimo la choo!!
Kamfufue au kufa kazikwe karibu nae kama kimekuuma mtoto wa kike, na bado hadi ujinyonge dadadeki,Bila kumtaja Jiwe mdomo wako utabaki unawasha na kunuka kama shimo la choo!!
Tuliza mshono wakati anateka na kuua watu si ulikuwa unachekelea sasa kesha kufa na huwezi kumfufuaBila kumtaja Jiwe mdomo wako utabaki unawasha na kunuka kama shimo la choo!!