Huyu mgombea , angejitoa tu kugombea Ili Chama kiteue mtu mwingine wa kupeperusha bendera huko zanziba, sjui Mimi namuonaje!
Namuona ni kama kiafya hayuko Sawa Sawa, sijui uzee labda, Yesu Kristo nihurumie
Na Mungu Mwenyezi mpe nguvu mtumishi wako na mgombea uraisi wetu
Kama ni kweli Wapemba wawachinje hao jamaa mchana kweupe ili tuhishimiane!Kuna video inazunguka Mwanyekiti wa ACT wazalendo bwana Seif anasema Sasa inatosha.
Inakuwaje watu kutoka bala wapelekwe Zanzibar kusimamia uchaguzi?
Inakuwaje waje na maelekezo kutoka juu? Kwa Magufuli?
Inakuwaje wawe maafisa wa usalama wa taifa?
Inakuwaje vyama vingine vilazimishwe kuwawekea pingamizi wagombea wa ACT?
Amesema Sasa basi inatosha.
View attachment 1550611View attachment 1550612
Hii nchi ni yakwako na uyo jamaa yako !?Uchaguzi si kigezo cha kukabidhi nchi kwa Mawakala wa Masultan
KULINDA MAPINDUZ ni jukumu la lazima la Rais na JPM anajua hilo
Yani wanamuomba Hugo wanayepambana Naye aingilie kati.Aingilie kati wakati yeye ndie aliyewapeleka hao maofsa watume ambao ni mausalama was taifa
Afadhali wewe umekua muwazi. Huu ndio msimamo wa serikali ya CCM tokea Mapinduzi ya mwaka 1964. Yote mengine ikiwa ni pamoja na kinachoitwa uchaguzi unaoshirikisha vyama vingi vya siasa ni kiini macho na hadaa tu kwa wananchi na Jumuiya ya KimataifaUchaguzi si kigezo cha kukabidhi nchi kwa Mawakala wa Masultan
KULINDA MAPINDUZ ni jukumu la lazima la Rais na JPM anajua hilo
Janjaweed na mazombi wapo kwa kulinda haki au sio?Haki ipo Tanzania, ukiamua kuishi bila kuheshimu wengine ni lazima uone kama vile haki haupo.
Wenyewe huwa wanaapa kuyalinda mapinduzi matukufu.
Wenyewe huanza kwa kusema mapinduziiiiiii....Janjaweed na mazombi wapo kwa kulinda haki au sio?
Na wakishasema hivyo nyie mnashangilia na kupiga vigelegele au sio?Wenyewe huanza kwa kusema mapinduziiiiiii....
Mkuu mapinduzi yanaleta neema kwa watu wengi.Na wakishasema hivyo nyie mnashangilia na kupiga vigelegele au sio?
Je mkishaua na kuwatia watu vilema hayo mapinduzi na chama chenu maana nacho ni cha mapinduzi Je hayo mnayojikweza nayo yatakuwa na maana tena?
Matumizi ya nguvu, vitisho vya kipumbavu havijapata kushinda popote duniani. Utashughulikia saba wa nane wao utakuwa wewe. Utaua nane wa tisa wao utakuwa wewe. Utaonea ama kufunga tisa wa kumi wao utakuwa wewe. Hiyo ndio falsafa ya maisha na haijapata kubadilika. Acheni uwanja wazi nchi si ya CCM wala chama chochote ni ya Watanzania.Mkuu mapinduzi yanaleta neema kwa watu wengi.
Wachache wenye akili na mipango kama ya kwako kushughulikiwa ni jambo la kawaida tu, halinyimi watu usingizi.
Fanya fyokofyoko ukione cha mtema kuni.
Tunatakiwa kumchinja yeye kabla hajatumalizaBwana yule kageuza nchi kuwa familia yake. Akiachwa atachinja wote
Sema watz wengi waoga sana wa mabadiliko, halafu wengi hawatambui haki zao.Hatutaki yatokee yaliyotokea Gambia, ajiandae rasmi kukukubali maamuzi yetu kama anavyoyategemea, huu ujanja ujanja anaotaka kufanya ili uchaguzi usifanyike hautamfanya aendelee kuwa rais.
uchaguzi ni lazima ufanyike ili aondoke.
Mmmhhh
Maalim Seif Hamad amesema kuwa Rais Magufuli akizungumza na balozi mwaka huu alimhakikishia balozi kuwa kutakuwa na uchaguzi huru na haki na wazi lakini amesema kwa sasa wananchi wanachokishuhudia ni tofauti kabisa na maneno hayo na si tu kwa Tanzania bara lakini pia hata Zanzibar unga umezidi maji.
Amesema wanayo taarifa Pemba karibu wagombea wote wa ACT-Wazalendo waliwekewa pingamizi za kipumbavu kabisa na kwa sasa 8 kati yao wameruhusiwa kuendelea kugombea na 10 bado wanasubiri maamuzi.
Ambapo jambo la kusikitisha ni kwamba wanaoweka pingamizi ni wasimamizi wa uchaguzi ambao kwa mara ya kwanza Tangu historia ya Zanzibar wametolewa kutoka bara na wote ni maafisa wa usalama wa Taifa wamekuja kwa maagizo maalum ya Rais Magufuli kwa waahakikishe kwamba wagombea wa ACT-Wazalendo wanaenguliwa.
Amesema kuwa unakuta wagombea wanaambiwa wamewekewa pingamizi na mgombea wa chama fulani na wakati huohuo mwanachama huyo anakataa kuwa hajaweka pingamizi anakataa mwenyewe anasema si kweli kwamba hajaweka pingamizi kwa barua.
Maalim Seif Hamad amesema kuwa Rais Magufuli akizungumza na balozi mwaka huu alimhakikishia balozi kuwa kutakuwa na uchaguzi huru na haki na wazi lakini amesema kwa sasa wananchi wanachokishuhudia ni tofauti kabisa na maneno hayo na si tu kwa Tanzania bara lakini pia hata Zanzibar unga umezidi maji.
Amesema wanayo taarifa Pemba karibu wagombea wote wa ACT-Wazalendo waliwekewa pingamizi za kipumbavu kabisa na kwa sasa 8 kati yao wameruhusiwa kuendelea kugombea na 10 bado wanasubiri maamuzi.
Ambapo jambo la kusikitisha ni kwamba wanaoweka pingamizi ni wasimamizi wa uchaguzi ambao kwa mara ya kwanza Tangu historia ya Zanzibar wametolewa kutoka bara na wote ni maafisa wa usalama wa Taifa wamekuja kwa maagizo maalum ya Rais Magufuli kwa waahakikishe kwamba wagombea wa ACT-Wazalendo wanaenguliwa.
Amesema kuwa unakuta wagombea wanaambiwa wamewekewa pingamizi na mgombea wa chama fulani na wakati huohuo mwanachama huyo anakataa kuwa hajaweka pingamizi anakataa mwenyewe anasema si kweli kwamba hajaweka pingamizi kwa barua.
Tatizo wenye mawazo kama ya kwako huwa wanakariri maisha. Unaongelea Samuel Doe ukisahau kuwa wakati anaingia madarakani mpaka anaondoka nchi yetu ilikuwa chini ya chama kile kile kilicho madarakani leo hii.Matumizi ya nguvu, vitisho vya kipumbavu havijapata kushinda popote duniani. Utashughulikia saba wa nane wao utakuwa wewe. Utaua nane wa tisa wao utakuwa wewe. Utaonea ama kufunga tisa wa kumi wao utakuwa wewe. Hiyo ndio falsafa ya maisha na haijapata kubadilika. Acheni uwanja wazi nchi si ya CCM wala chama chochote ni ya Watanzania.
Hamjifunzi kilichotokea kwa Master Sergeant Samuel Doe na wapambe wake? Msifanye maskhara na maisha ya watu, msiichezee amani maana amani hailetwi kwa maguvu na vitisho Jifunzeni yaliyotokea Angola na mwisho wake.
Ruksa kujitia upofu na kujitoa akili kwa kuwaza jua halitozama.
Hao ndio takataka kabisa 🚮 🚮Hii nchi haina hata viongozi wa dini?