Na ni fomu moja tu sasa ole wako utie puaChama kusemana na kukosoana ni jambo la afya sana. Nawashukuru Chadema wana uhuru wa kutoa mawazo na kusema. Lakini sisi kijani ni zidumu fikira za Mkiti tu hata kama hafanyi vizuri
Halafu unakuta sisi ambao hatuna uhuru wa kujieleza ndio tunawasema vibaya Chadema. Kwa kweli kuwa CCM ni sawa na jera ila kwa vile tuko ili tupige diri tu na ni chama cha wapiga diri tunaendelea kukomaa humo humo na diri zetu.Na ni fomu moja tu sasa ole wako utie pua
Demokrasia ya kuzungumza ndani ya Chadema ni kubwa mnoUkiona moshi, usidhani uko Mkoa wa Kilimanjaro, wakati mwingine ni moto unawaka chini kwa chini.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema Mkoa wa Mbeya amekiri kwamba uchaguzi ndani ya chama umejaa rushwa ya kiwango cha kutisha, kiasi kwamba aliamua ajiondoe kuogombea uenyekiti wa chama mkoa wa Mbeya.
Ameendelea kusema kwamba chama hicho kimejaa watu wenye roho mbaya sana kuliko hata CCM.
Full video, tembelea youtube page ya Jambo
View attachment 2984542
Wala rushwa wakubwa!Demokrasia ya kuzungumza ndani ya Chadema ni kubwa mno
wala rushwa nyie konyo zenuDemokrasia ya kuzungumza ndani ya Chadema ni kubwa mno
Tumekula wapi?wala rushwa nyie konyo zenu
Wapi tulipokula, halafu ni wapi pana huo ushahidi?Wala rushwa wakubwa!
Hicho ni chama Cha waganga njaa wako kimaslahi ndio maana wanataka kutoana rohoUkiona moshi, usidhani uko Mkoa wa Kilimanjaro, wakati mwingine ni moto unawaka chini kwa chini.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema Mkoa wa Mbeya amekiri kwamba uchaguzi ndani ya chama umejaa rushwa ya kiwango cha kutisha, kiasi kwamba aliamua ajiondoe kuogombea uenyekiti wa chama mkoa wa Mbeya.
Ameendelea kusema kwamba chama hicho kimejaa watu wenye roho mbaya sana kuliko hata CCM.
Full video, tembelea youtube page ya Jambo
View attachment 2984542
Chama chenu nacho ni wala rushwaaa. Duuuuuhwala rushwa nyie konyo zenu