KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Nilivyoelewa uliyoandika hapa:Na ili uelewe hili jambo livae kama wewe ni mwanae wa kwanza
Mmekaa seating room unakuta watu wameongia wamemchukua mzee wanasepa nae
Hujui wanaenda wapi
Kufanya nini
Na kwanini
kunasiku watu watashindwa kuvumilia
Huyo mwanae awe ni HAMZA palepale wanapomchukua mzeee!
Mbona hata wao "walioingia na kuchukua watu" wataanza kujiuliza maswali magumu!