KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Nilivyoelewa uliyoandika hapa:Na ili uelewe hili jambo livae kama wewe ni mwanae wa kwanza
Mmekaa seating room unakuta watu wameongia wamemchukua mzee wanasepa nae
Hujui wanaenda wapi
Kufanya nini
Na kwanini
kunasiku watu watashindwa kuvumilia
Yote tulaumu ila Lissu domokaya! Hakuna nchi inayovumilia upuuzi huo ndani ya nchi. Watu wa aina hiyo kokote huondolewa. Ndo maana hata alipoanza ziara, aliamini ataungwa mkono lakiniakaishia kukutaka na washenzi wa mitaani tu.JPM mlikuwa mnamsingizia tu, wengi hamjui kuna kitu kinaitwa SYSTEM, ndio maana lissu alikuwa anadai adui yake JPM, lkn cha ajabu hadi kesho anaogopa kurudi
je JPM bado yupo?
kutekwa kupo tokz enzi za JK NYERERE,mwinyi, mkapa,kikwete
`
Unapachikwa nyuma! Kima wee!Hata usemeje haisaidii.
Daah si yule wa kung' olewa kucha kwa plaizi? Watu wanaroho mbaya Sana hapa dunianiLin waliondoka ....hata kwa nyerere,mwinyi, JK,mkapa walikuwepo, wapo, wataendelea kuwepo...
Unamkumbuka DR.ULIMBOKA?
Unaelewa maana ya haisaidii?Unapachikwa nyuma! Kima wee!
Bora ungezaliwa kimaBora ningezaliwa mbwa Ulaya
Mbwa wenzio wangekugonga mpaka ukome mwenzangu!Bora ningezaliwa mbwa Ulaya
Hiki ulichojibu ukisoma tena unakielewa? Unajua mwanasiasa ni nani labda tuanzie hapo isije ikawa hata hujui unachomaanishaYani kwamba system inaamuliwa na wanasiasa?
Kwa mtazamo wangu wewe ndy haujui kuliko huyo unayemkosoa ..mm naona Jackwillpower hoja yake angalau ina mashiko
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Upo Sawa kabisa ndo maana watu wanalalamika kuwa kuna kikosi kinaendesha nchi badala ya rais.Hata Lissu akiwa rais watu watatekwa kama kawa, KUNA SYSTEM nyuma ya rais,Ndio maana tunaoijua hii nchi, tunajua Mbowe sio Gaidi ila SYSTEM imefanyabyake, angekuwepo JPM angetupiwa kila lawama...
SAMIA awali hakuijua Vzr SYSTEM..... akataka aendeshe nchi yeye kama yeye, ndipo SYSTEM ikamuambia kina mbowe watamzid kete...
Now Mbowe yupo korokoroni.....
Vijitu vingine vikisikia system basi vinaona sijui ni software gani iliyoundwa mbinguni kumbe ni watu wa kawaida mnaogombea mademu na kunywa nao gongo tu.Eti hakuna system inaweza kufanya jambo bila mkuu wao kujua. Sometimes kubalini kuna vitu hamjui
Kushabikia Siasa sio haki ya binadamu?Ameyataka mwenyewe mzee mzima ndio anashobokea siasa
USSR
Bado hujanishawishi , unayakumbuka yaliyompata Ben Saanane ?
Ulimboka Mwakingwe?Lin waliondoka ....hata kwa nyerere,mwinyi, JK,mkapa walikuwepo, wapo, wataendelea kuwepo...
Unamkumbuka DR.ULIMBOKA?
Tuanze kupigia upatu ipatikane katiba mpya isiyotambua siasa.Wanakamatwa sio kutekwa polisi hawateki wanakamata SEMA walikamatwa we anawahi kusema kutekwa ,ukifanya mgumu lazima ukalishwe
USSR
Unafaidika nini kwa uongo huu?View attachment 1961683
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa, ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye, tena bila kusema wanampeleka wapi.
Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia.
Yeah yeah aisee !!Aiseeeeee !!
Wewe unasikitika wenzio wanachekeleaInasikitisha sana...