Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA aliyekamatwa Zanzibar, Hashimu Issa Juma apelekwa Kisutu

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA aliyekamatwa Zanzibar, Hashimu Issa Juma apelekwa Kisutu

Vijana hawaijui hii nchi... juzi tu alipoingia samia.... wametekwa wengi tu wenye kelele

kwa kikwete ULIMBOKA alitekwa hata JK hakujua.....amekuja kumuona muhimbili....

Roma alitekwa kwa makosa ya kipind cha JK, mwanzon mwa utawala wa JPM....
Wanakamatwa sio kutekwa polisi hawateki wanakamata SEMA walikamatwa we anawahi kusema kutekwa ,ukifanya mgumu lazima ukalishwe


USSR
 
View attachment 1961683

Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa , ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye , tena bila kusema wanampeleka wapi .

Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia .
Mungu atuepushe na hii dhahama tena jamani.
 
Kwamba Rais anaburuzwa na watu fulani siyo ?
kuna watu au SYSTEM NI ZAID YA RAIS WA NCHI

Why lissu hataki kurud ikiwa aliyekuwa adui yake JPM hayupo?

Why ROMA katelekeza familia ikiwa mliyesema anateka hayupo?

kuna mamlaka zaid ya raisi

NI HERI UPOTEZWE MTU MMOJA KWA MANUFAA YA WATZ MILLion 50

MUULIZE DR.ULIMBOKA ENZ ZA JK......HATA JK ALISHTUKIA MTU YUPO MUHIMBILI

system ilishafanya yake
 
kuna watu au SYSTEM NI ZAID YA RAIS WA NCHI

Why lissu hataki kurud ikiwa aliyekuwa adui yake JPM hayupo?

Why ROMA katelekeza familia ikiwa mliyesema anateka hayupo?

kuna mamlaka zaid ya raisi

NI HERI UPOTEZWE MTU MMOJA KWA MANUFAA YA WATZ MILLion 50

MUULIZE DR.ULIMBOKA ENZ ZA JK......HATA JK ALISHTUKIA MTU YUPO MUHIMBILI

system ilishafanya yake
Wafuasi wa jiwe bado wapo
 
kuna watu au SYSTEM NI ZAID YA RAIS WA NCHI

Why lissu hataki kurud ikiwa aliyekuwa adui yake JPM hayupo?

Why ROMA katelekeza familia ikiwa mliyesema anateka hayupo?

kuna mamlaka zaid ya raisi

NI HERI UPOTEZWE MTU MMOJA KWA MANUFAA YA WATZ MILLion 50

MUULIZE DR.ULIMBOKA ENZ ZA JK......HATA JK ALISHTUKIA MTU YUPO MUHIMBILI

system ilishafanya yake
Bado hujanishawishi , unayakumbuka yaliyompata Ben Saanane ?
 
kuna watu au SYSTEM NI ZAID YA RAIS WA NCHI

Why lissu hataki kurud ikiwa aliyekuwa adui yake JPM hayupo?

Why ROMA katelekeza familia ikiwa mliyesema anateka hayupo?

kuna mamlaka zaid ya raisi

NI HERI UPOTEZWE MTU MMOJA KWA MANUFAA YA WATZ MILLion 50

MUULIZE DR.ULIMBOKA ENZ ZA JK......HATA JK ALISHTUKIA MTU YUPO MUHIMBILI

system ilishafanya yake
Hakuna system inaweza kufanya jambo bila mkuu wao kujua au kupewa taarifa ya operation hiyo na kuiridhia. Hiyo system inaongozwa na watu ambao kwa ukubwa wake ni wateule wa Rais.
Na kama utaicha system ifanye kazi bila kukutaarifu wewe ipo siku watakugambanisha na wananchi uwajibike wewe wakati wao wakila maisha kwa dhulma zao.
Rejea viongozi wengi wa hizi unazoita system walivyowajibishwa baada ya kufanya bila matakwa ya mkubwa wao.
Kwakifupi kila kitu kinachoendelea Samia anakibariki na kama analazimishwa basi ujue hatuna Rais na hii ni hatari kubwa sana.
 
kuna watu au SYSTEM NI ZAID YA RAIS WA NCHI

Why lissu hataki kurud ikiwa aliyekuwa adui yake JPM hayupo?

Why ROMA katelekeza familia ikiwa mliyesema anateka hayupo?

kuna mamlaka zaid ya raisi

NI HERI UPOTEZWE MTU MMOJA KWA MANUFAA YA WATZ MILLion 50

MUULIZE DR.ULIMBOKA ENZ ZA JK......HATA JK ALISHTUKIA MTU YUPO MUHIMBILI

system ilishafanya yake
Chadomo wasipo jua haya wataendelea kusubilia eti nani awe rais

USSR
 
Unguja watampeleka wapi?Yupo kituo cha polisi mwembe mchomeke au dole!
 
Back
Top Bottom